The 2016 Hottest and Best couple katika ubora wao

fb_img_1476847553372 fb_img_1476847537671 Mbona wewe mzuri sana mpaka unatupa hasira ?? Pendeza sana mama LB……..basi ngoja nikusindikize na hii zilipendwa…….

????  Uzuri wangu wa Tausi mama ?? Maringo kwetu kawaida ?? Wenzangu wananisengenya, nikipita wao hukonyezana eee 

??? Wamesahau kazi zao, kutwa nzima kunichunguza Maringo kwetu kawaida, hamuwezi kunyamaza eeee…….
(Chorus) ??? Hamuwezi kunyamaza, hamuwezi kunyamaza, hamuwezi kunyamaza …..Mpaka mseme kila siku eee
??Wasiwasi wenu wa nini ngoja niseme ukweli….SEMAAaa ?? Mwili wangu mzuri, kila vazi linakubali ? Uzuri wangu wa kuzaliwa/TAUSI , maringo kwetu kawaida
Nikigeuka Utakubali ?? Nikitembea Utakubali?? Nikicheza Mtazimia wasiwasi
 ??Hamuwezi kunyamaza, hamuwezi munyamaza, hamuwezi kunyamaza ….Mpaka mseme kila siku eee…………fb_img_1476847494090fb_img_1476847569150 fb_img_1476847486444Awiiiii!! si kwa mahaba haya ati! Pendeza sana Mr and Mrs Kimesera ❤❤❤❤

Leave a Reply