My 2017 best Tweet: “You are the air that I breathe”



Kuna comment nyingi kwenye hii tweet ambazo zinachekesha sana sema nimechagua hizo tu!    

Ngoja niwaambie, kwakweli hakuna kitu kizuri kama kumuona mtu kama Dr Mengi anajishusha na kumuheshimu. kumpenda  mwanamke namna hii! Yani inavutia sana kuona mtu mwenye elimu yake nzuri sana, anapesa zake, na all the power kwenye public and yet he can humble himself like that! "You are the air that I breathe"! Hivi niwanaume wangapi wa Kitanzania ambao wamesoma labda wana Masters tu wanaweza kusema maneno Kama haya kwa mkewe ambaye elimu yake ni sawa na "sifuri" kwake?!! Enyi vijana wa Kitanzania jaribuni kuiga wazee kama akina Dr Mengi mtabarikiwa zaidi! ........And Nope! Wakubwa hawafaidi!! Muheshimu na umpende mkeo kwa dhati in private and in public nawe uone kama hauta faidi!! Muache ukatili!!!...........Kwa maana hiyo hii imekuwa my best tweet for 2017! Kama mjuavyo hii blog upendo ndio dini yetu, basi tumefurahi sana na hii tweet!

Leave a Reply