My 2017 Hottest and Best Couple wakiwa na mziwanda wao!

Simnawakumbuka eeh! Hii ndio ilikuwa my 2017 Hottest And Best Couple Of The Year! Mr and Mrs Joseph Musira kutoka Kamunyonge, Musoma, Mara!…. kama ulipitwa soma ?? (2017HottestAndBestCouple) Hapo kwenye picha  wapo na mziwanda wao baada ya kutoka kwenye ibada ya kufunga na kufungua mwaka! Nawatakia mwaka mpya mwema, upendo na neema za Mungu zikaambatane nao katika mwaka mpya! Nawapenda sana. Kama wewe ni mgeni wa hii blog hii blog basi naomba ujue kuwa kila mwaka siku ya Valentine huwa nachagua wapendanao wawili kuwa the best couple of the year. Hivyo ukitaka kujua nani atashika taji mwakani wewe endelea kutembelea hii blog bila kuchoka nani 2018 itapendeza zaidi ?? Mtu na daddy ake, deka mdogo wangu ??

Leave a Reply