2020, je! Oprah Winfrey atajitosa kugombea urais wa Marekani?!

Hatuba fupi aliyoitoa Oprah Winfrey wakati akipokea tuzo za Cecil B. de Mille Awards kwenye Golden Globes hapo juzi kati imefanya watu wengi wajiulize kama mwanadada huyo ambaye ni billionaire mwenye mvuto mkubwa wa kushawishi watu atakuja kugombea kiti cha urais ifikapo 2020! Oprah Winfrey aliongea kwa hisia kali kuelezea jinsi wanawake wanavyokuwa wakinyanyasika, kudhalilishwa katika nyanja zote za maisha, malalamiko yao yamekuwa yakipuuzwa siku zote nasasa wakati wa hawa wanaume wanyanyasaji  umefika mwisho, "their time is up" Oprah alisema kwa ushujaa huku watu wakimshangilia. Embu msikilize kwanza ?

Kwakweli mimi nilikuaga siyo mapenzi au shabiki sana wa kuona Rais mwanamke, lakini jinsi nilivyokaa nikachukua muda wangu kuwatizama hawa wanasiasa wa kiume, honestly I now strongly supporting for a Female President! Their time is up for real! Labda tukiwa na viongozi wakuu wakike wengi kwenye dunia hii hali itabadilika kidogo, we may make this world a better place to live again! Hawa wanaume hakuna wanafanya zaidi ya ku-feed their stupid ego and using women as tools!!
Oprah Winfrey na mpenzi wake Stedman Graham
Kama Oprah aliweza kumfanikisha Rais Baraka Obama kuwa Rais wa kwanza mwenye ngozi nyeusi hapa Marekani, trust me with what is going on right now in America? Oprah Winfrey will definitely be the First Female President in America and she is BLACK!! .......Katika tuzo hiyo Oprah Winfrey ndio mwanamke wa kwanza muafrica aliyewahi pata tuzo hiyo. Sydney Portie're ndio alikuwa muafrica wa kwanza kupata, hivyo mpaka sasa ni hao wawili tu kwa upande wa watu weusi ambao wamefanikiwa kupata tuzo hiyo!

Leave a Reply