ADD Friends Campaign – Epsd 017 Tutakuwa Mubasha Azam Two Alhamisi asubuhi.

ADD Friends Campaign – Epsd 017
Tutakuwa Mubasha Azam Two Alhamisi asubuhi. 

Peter Sarungi (The Next Speaker)

Tunaendelea kutoa elimu mpya kwa jamii inayo zunguka watu wenye ulemavu ili kuondokana na fikra potofu.
Alhamisi 24/8/2017 Asubuhi ya saa mbili tutakuwa mubashara Azam Two tukijadili mada isemayo;

“Je nini kifanyike ili kuendeleza ustawi wa jamii ya watu wenye ulemavu nchini??”

Karibu tujadili na kujifunza wote. Kama una maoni, maswali na hata ushauri kuhusiana na mada hii una ruhusiwa kushiriki katika ukurasa wangu wa fb na tutazisoma hewani mubashara.

Karibu #ADDfriends tujenge ustawi mzuri kwa jamii ya walemavu.

Leave a Reply