Alberto Msando: Ni suala la muda tu UKWELI utajulikana.

Repost from @albertomsando – @wemasepetu  

We spoke and I repeat “watakutukana, watajaribu kukudhalilisha, watatumia nguvu kubwa kuonyesha hufai, watakuombea mabaya, watatamani uanguke, watapenda uwe mnyonge. Ila UKWELI wanaujua”. Ni suala la muda tu UKWELI utajulikana. Muda ni kila kitu. Maamuzi haya ni sahihi. Na yeyote ambaye anakujali wewe kama rafiki ataelewa. Ni maisha yako. Ni kesho yako. Ni Tanzania yako. @wemasepetu #ForThoseWhoLoveToHate #HayaWataanzaUongoWao #MaamuziBinafsi #NaBado #Sindano #MaumivuYaKichwa #KuwaNgaziSasaBasi #TheDon @hpolepole #SheIsBack

 Haya hayo Ni maneno yake Mwanasheria kijana, msomi wa kuaminika na mataifa yote Mhe. Alberto Msando akimpa nguvu mrembo wetu Wema Sepetu ya kusimamia maamuzi mazito aliyo yafanya!

Leave a Reply