Amani! Amani! Amani! Ndiyo nguzo ya Tanzania!

FB_IMG_1472404915202FB_IMG_1469659269564Watu walio starabika utawajua tu kwa matendo yao! Yana ng’aa hata gizani!! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!! Kwakweli mzee Lowassa na mke wake ni watu wastarabu sanaaaaaa! Hawa ni watu ambao hawajazoea “drama” hata kidogo! Ni watu wa kujishusha. Haya mambo mengine ni watu tu wanataka kuwalazimisha lakini sio asili yao! Unajua kuna watu  ni wastarabu wa mavazi tu! Yani ukiwaona utafikiri tabia na roho zao zinaendana na mavazi yao ya kitanashati!! Kumbe ovyo kabisa!! ……….anyway I love this picture a lot! Siasa sio uwadui na wala sio chuki zisizokuwa na kichwa wala mguu!! Tunataka democracy ndani ya Tanzania lakini hatuwezi kuvunja nguzo yetu kuu (amani) halafu mkafikiri tutakua salama baada ya hapo!! Nope! Pindi tutakapo jaribu vunja amani ya nchi yetu basi tuhesabu maumivu! Haitokaa irudi tena! Niambie nchi gani ambayo imechezea amani ya nchi yao nawakaweza irudisha???!! Amani! Amani! Amani! Ndiyo nguzo na msingi wa Tanzania!!

One thought on “Amani! Amani! Amani! Ndiyo nguzo ya Tanzania!”

Leave a Reply