“The Art of a Close Minded Society ni tatizo linalotusumbua sana hili Taifa kuanzia wananchi wengi mpaka Viongozi”~~~~~ LeMutuz

LIVE STRAIGHT TALK:- The Art of a Close Minded Society ni tatizo linalotusumbua sana hili Taifa kuanzia wananchi wengi mpaka Viongozi tuna tabia ya kutopenda kufikirisha Akili kabisa na very soon hili Tatizo litatugahrimu sana as a Nation cause najua linatugharimu wananchi individually kila siku in our daily lives

I mean bado ninakumbuka yote yaliyotokea kwenye vita ya RC na Madawa ya kulevya we almost drove out from the post the best ever RC of our all history as a Nation kisa na mkasa habari za kusikia tu from One Side bila kujali the second side like how the Americans taught me kwamba BINADAM USIFANYE MAAMUZI YA AINA YOYOTE IN YOUR LIFE MPAKA UHAKIKISHE UNA PANDE ZOTE MBILI ZA HABARI ULIYOISIKIA 
Hii sheria ya maisha ni ngumu sana kwetu Wabongo juzi nimekutana na mtu msomi alikuwa nje ya Nchi kwa muda mrefu sana na wakati wa ile Vita ya RC alikuwa akinitumia sms za ajabu sana akimshambulia RC sikuwahi kumjibu ila nilisubiri arudi kwanza now majuzi nikamuomba kwamba hebu jaribu kusikiliza upande wa pili wa habari maana najua unayo ya upande mmoja yaani wa Gwajima tu now alisikiliza mpaka alipoona hadithi yangu inamtoa kabisa kwenye box lake akaanza ku protest kwamba hakujua nimsamehe ingawa alisema neno moja la msingi sana aliniomba nimuombee msamaha kwa RC ...hili huwa ni neno gumu sana nowadays kulisikia kutoka kwa Vijana wa kisasa ni almost halipo tena in our National vocabulary inasikitisha sana cause inaenda straight to the core of our Education System kwamba inahitaji a serious ovehauling maana we are ctreating a time bomb society
Imagine 65% ya Taifa letu from 55M people ni Vijana ambao hawawezi kabisa kufikiria kwamba any new story in life ina Pande Mbili na unahitaji kuzijua zote kabla ya kutoa uamuzi ndio maana sasa tuna namba kubwa sana ya Divorce na infact sasa hivi as a Nation we are so vunerable that likitokea Taifa au Taasisi yoyote kutoka nje ikatuvalia njuga kutuvurugia amani yetu wala hawatapata shida cause tumetengeneza wenyewe kwa kutumia mfumo wetu mbovu wa Elimu Taifa la Vijana wasioweza kufikiri kabisa nje ya box la maisha waliomo

Guys tujifunze basi hata on our own kujua pande mbili za ishu kabla ya kuruka na hukumu! - le Mutuz

Leave a Reply