The art of confidence by Lemutuz

screenshot_2016-12-12-09-19-16-1screenshot_2016-12-12-09-19-32-1screenshot_2016-12-12-09-19-44-1Asante Lemutuz kwa kuongea ukweli bila chenga! Mimi si mpenzi wa muziki ya rap! Si maanishi ni mibaya hapa my brain doesn’t comply with them lol! Honestly, I have selective mind problem hivyo kuna vitu siwezi sikiliza au tazama yani brain yangu ikigoma haivitaki basi mie huwa I keep a distance from them! Mfano mmoja lilishawahi toa huko nyuma kuwa mie sipendi strong bright colors  huwa napata headache kabisa!……….Anyway, turudi kwenye mada!……Binafsi hili swala la watu kutafuta “Kiki” kwa kutumia scandals zisizo na kichwa wala mguu lina nikera na nalichukia mno! Actually I’m a victim of hawa watu wanao tafuta #Kiki!! Watu wameondokewa na hofu ya Mungu kabisa!! Wanacheza na Mungu kama walivyo mchezea mzee Kikwete!!! The devil has corrupted people’s mind mpaka inaogopesha!!………. Huwezi amini kuna watu wapo teyari kucheza na ndoa walizo kula kiapo kanisani / Msikitini mbele za Mungu  ili kutafuta umaharufu!! Hivi ndoa Siniagano takatifu???!!! Watu wamepewa dhamana ya kutumikia wana nchi lakini wapo teyari kucheza na kazi na vyeo walivyopewa kutumikia wana nchi ili kupata stupid attention??! Wasichana na wanawake wazima wanakubali kudhalalishwa ili kupata umaharufu??!!! Tena wengine wanadai wao ni “Wachungaji” lakini matendo yao yatakuacha hoi!! Hiyo yote wanatafuta umaharufu! mmmh! Eeh Mungu tusaidie! Its sad!  This needs to end kwakweli! Naamini katika uongozi huu wa baba yangu Dr Magufuli hawa watu watanyooshwa tuu ?? Sorry Shingongo tafuta biashara nyingine ?? Enough is enough!!

Hongera sana kaka #Darassacmg kwa mfano mzuri wa kuigwa katika jamii yetu!   #Inawezekana  #ItBeginsWithYou

Leave a Reply