“The Art Of Self -confidence”

Regrann from @lemutuz_superbrand - LIVE STRAIGHT TALK: The Art Of Self -confidence I mean huwa ninashindwa kuamini ninampigia simu Mbebezz anapokea Mwanaume na kujifanya kujitunisha please stop that guys unakuwa mjinga na utaishia kujiua cause Mwanaume unatafuta nini kwenye simu ya Mbebezz wala sio mke wako na hata kama angekuwa Mwanaume huingii kwenye simu ya Mbebezz cause utayakuta unayoyatafuta yaani Ugonjwa wa moyo ..kila binadam anahitaji nafasi au space to be themeselves sometimes na hakuna binadam anayeweza kumchunga mwingjne na mpaka kufanikiwa HAYUPO nina maana Mwanaume huwezi kumchunga Mbebezz ukafanikiwa utakwama tu kila binadam anahitaji uhuru wa kufanya mambo yake bila kuchungwa na kwenye mapenzi tunatakiwa kuongozwa na TRUST!
Now what is TRUST kwenye mapenzi wewe hakikisha you dont Cheat ukiweza hilo ujue na Mbebezz wako hata ku cheat ila kama wewe Mamen una Cheat ujue 100% Mbebezz wako naye ata Cheat tu yaani wewe ule wabebezz wa wenzako ila wako asiliwe wewe nani hapa.Duniani na nani kakudanganya kuwa inawezekana? ...guys kuna Sheria ya maisha sijaitunga mimi kua ukiona una cheat mke wako hakukamati ujue na yeye ana Cheat cause giza ni kwa giza na mwanga ni kwa mwanga babe yaani haiwezekani wewe U cheat mke wako asi cheat no way UNAJIDANGANYA TU hahahaha ...halafu guys acha utoto mpenzi wako akiamua kuku cheat haina maana hakupendi ila ni mapungufu tu ya kibinadam wote huwa tunapitiwa na jifunze kuwa kama mimi Sheria yangu ya maisha ni mpaka NIMKUTE MBEBEZZ WANGU RED HANDED ANA CHEAT ndio nitaamini ila siwezi kusikiliza maneno ya watu au majungu majungu au kwa vile nimeona sms ni Ujuha wa hali ya juu sana kukosa Kujiamini ...sawa mapenzi mapenzi lakini jifunze kwamba unampenda binadam mpungufu kwama wewe ulivyo so mpe nafasi usimbane mpaka anakosa pumzi U know ...kumpenda mpenzi wako sio kumfuatilia kwenye simu hapana mpe mapenzi ya kweli ataona huzuni na aibu kukuibia na ukiona mbebezz anaruka ruka ujue kuna kitu anakosa kwako muulize kwa upole atakuambia tu kuliko kujifanya mbabe na unajua kuchunga cause huwezi ...guys Mwanamke ni kama kisima cha maji huwezi kujua kuna mtu kachota ndoo moja mpaka umuone kama hukumuona hutajua so relax and chill like me! - @lemutuz_superbrand - #regrann

Leave a Reply