All posts by Alpha Igogo

Furaha ya dunia

Wahenga walisema furaha ya dunia watoto! Na hakuna kitu kizuri kama kuwa mtoto maana huna bills zozote zile za kulipa, yani wewe kazi yako ni kula, kucheza, na kulala. Kazi ngumu ni kucheza  kama unavyo waona watoto hawa walivyo busy na michezo na pozi katika picha. Mungu awalinde na azidi kuwabariki wa toto wote.

FB_IMG_1429666683996IMG-20150421-WA0000IMG-20150421-WA0001

Happy Wedding Anniversary

Happy 18th wedding anniversary to Mr. And Mrs. Ngeli

FB_IMG_1429648921252

“18 years ago God gave me a best friend, a partner in crime, a person to love, care and pray for. I learned a lot from you darling and most of all you have encouraged me to be strong, confident, and successful woman I am today. And most of all you have made me a queen. I will do it all over again with you because I have enjoyed every minute of it. Thank you and Happy anniversary my husband” ……….those sweet, sincere, and touchy words are from the wife- Tumaini.

To read my interview with da Tumaini click Here

Birthday wishes

Happy 3rd birthday gorgeous baby Amaya! May you live long, may God keep blessing you grow up and wiser, loving, and caring woman. We all love you and wish you the best in your life!

FB_IMG_1429649615188
Here’s baby Amaya and aunt Alpha back in 2013 in Dar es salaam, Tanzania at Amy’s great grandma resistance.

FB_IMG_1429649441551

FB_IMG_1429668582576At the same time its not too late to wish Amaya’s mother a happy birthday. Mitsuka enjoyed her birthday on April 15.

FB_IMG_1429649636764
Here’s Mitsuka with her grandmother mama Juma Nne. Current Mitsuka is in Tanzania visit her grandmother.

Kutoka Facebook

Leo kutoka Facebook nimependa hizi picha. Hata model huwa wanapika” hayo ni maneno yake mrembo wetu Miriam Odemba akiwa ameambatanisha na picha kama hizi. Safi sana Miriam, ni mfano wa kuigwa.

FB_IMG_1429481141381

FB_IMG_1429617472799

Birthday wishes

FB_IMG_1429649185731Happy birthday to my dearest mtani and college-mate Eve Lance. May God keep blessing you always. Enjoy your vacation in Tanzania and my regards to mama.

Mahojiano Maalum-Linda Bezuidenhout (LB)

News Alert!

KESHO JUMATATU MAHOJIANO YA HUYU NA YULE USIKOSE KUJUA USIRI WA MAISHA YA LINDA

NI MENGI AMEZUNGUMUZA AMBAYO MIMI NA WEWE HATUKUYAJUA

unnamedKesho Jumatatu katika kipindi cha mahojiano cha Huyu na Yule usikose mahojiano na mwanamitindo mbunifu wa LB kutoka Atlanta, Georgia atakapoelezea historia yake yenye milima na mabonde historia ya maisha yake yenye huzuni na furaha wakati mwingine Linda akitokwa na machozi kwa kukumbuka maisha aliyopitia.

Je Mume wake Mali walijuana nae wapi? na mengine mengi kuhusu maisha yake ikiwemo kampuni yake ya LB na malengo yake ya kupeperusha bendera ya Tanzania anga za kimataifa. USIKOSE mahojiano yaliyofanywa na mwakilishi wa Vijimambo na kwanza production Michigan Alpha Igogo ambae alitaka kujua undani wa maisha ya mwanadada Linda

unnamed (2)Alpha Igogo akifanya mahojiano na Linda jijini Atlanta

unnamed (1)Maswali yalikua moto Linda akipumua na kumkumbatia Alpha Igogo baada ya mahojiano kufikia mwisho

visit my blog at http://lukemusicfactory.blogspot.com/

Family Time

FB_IMG_1429458469012Family ya Mr. and Mrs. Kakoschoke, wao wako katika Spring tour safari yao ilianzia inchi za Middle East ambako ndipo wanaishi, wakaenda Tanzania, Singapore, Vietnam, na sasa wako njiani kuelekea Japan na inchi nyingine. Kwa matukio mengi mazuri ya kupendeza tafadhali tembelea www.maisafari.com

FB_IMG_1429454043879 FB_IMG_1429458592520FB_IMG_1429458616947FB_IMG_1429458522068FB_IMG_1429458510600FB_IMG_1429458542054FB_IMG_1429458548102

Kutoka Facebook

“Nani kama mama! Mano Mamawa, Jaber NyarKowak, Nyar Awiti, Nyamin gi Leo Awiti, Iber ndi merwa”…….basi hayo ndo yalikuwa maneno yake Advocate Janeth Igogo kwenye hiyo picha ya mama yetu kipenzi.

Kama huifahamu hiyo lugha ni lugha ya Kiluo, kutoka mkowa wa Mara wilaya ya Rorya.  Na tafsiri yake ni kama ifuatavyo :-

Nani kama mama! Huyo ni mama yetu, mrembo binti wa Kowak  (Kowak ni kijijini alipo zaliwa mama yetu), binti wa Awiti, dada yake na Leo Awiti  (Mzee Leo Awiti ndiyo kaka mkubwa katik familia ya mama yetu), wewe ni mrembo sana mama yetu! mmmmh! so touchy!

God keep blessing our mama and all good responsible mothers out there! We love you so much NyarAwiti!

FB_IMG_1429449228192

Family Time

Nilishawahi kusema huko nyuma na sito choka kusema kwani naelewa na naheshimu umuhimu wa familia. Ukitaka kuiua society yoyote ile anza kwa kuvuja marriage and family institution basi mengine yote yatafata kirahisi kabisa.

Hivyo basi, hii blog itatumika sana kuhamasisha umuhimu wa familia. Kila jumapili Mungu akinijalia nitakuwa nawawekea picha za familia mbali mbali. Kama utapenda kushare picha zako au una ujumbe kuhusu familia ungependa kushare, tafadhali wasiliana nasi.

Hii ni familia ya “Mama na baba watatu” kama wanavyopenda kujiita. Wao wanaishi Ohio, Marekani. Naipenda sana hii familia, na pia inanifurahisha zaidi kwani nilishuudia kuundwa kwake (ndoa yao) miaka zaidi ya mitano iliyopita, wakati huo walikuwa Mr.  and Mrs (-) watoto. Mungu azidi kuibariki familia hii, idumu katika Bwana siku zote. Amina!

FB_IMG_1429453942294 FB_IMG_1429453917157 FB_IMG_1429453933974 FB_IMG_1429453953638FB_IMG_1429750724772

Linda Bezuidenhount

April 14, 2015 Linda BezuidenhountApril was invited to attend the New York Festivals International Television & Film Gala. The event took place at the Westgate Las Vegas Resort and Casino, Las Vegas, Nevada. Here are some photos to share with you, as usual Linda is rocking hee own design from LB Apparel.  Hongera Linda.

FB_IMG_1429157642505 FB_IMG_1429157617130 FB_IMG_1429157621021 FB_IMG_1429155869567

Mkumbuke Muumba wako

Ujumbe wa leo ni kwamba mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako ukiwa bado unanguvu na muda mwingi sana. Usisubiri mpaka majanga yakukute au use kwenye near death situation ndo uwanze kumtumikia Mungu. Ni jumbe kwetu wote, nashukuru dada yeti kipenzi Shy-Rose ameweza kutukumbusha kwa kutokujikweza mfanikio.

Mh. Shy-Rose aliudhuria ibada ya Ijumaa iliyopita alipokuwa mjini Mwanza kwa shughuli za kichama. Ubarikiwe sana dada yetu.

FB_IMG_1429155207474

Kutoka Facebook

Leo kutoka Facebook nimeipenda sana hii picha ya Ms. Ritha Semizigi. Kapendeza sana, mpangilio wa nguo pamoja na muonekano simple but beautiful!

FB_IMG_1429105488029

Watoto na vipaji

Kama mmoja ya wazazi walio zaliwa na kukulia katika mazingira ya kiafrica ambapo wengi wazazi wengi miaka ya nyumba hawakuwapa watoto wao uhuru wa kukuza vipaji vyao. Wazazi wengi walikuwa na mtazamo yao ya ni nini wanataka watoto wao wawe wanafanya wanapo kuwa wakubwa.  Basi nami kwakweli nilijikuta nikiwa na mtazamo huo huo wakumnyima mwanangu uhuru wa kupata  full “exposure” ya vitu vile alivyokuwa akionyesha kuvipenda au niseme kuwa talented navyo kwani nilikuwa teyari nina picha ya ni nini mwanangu anatakiwa kufanya au kuwa.

IMG-20150415-WA0000
         …………….Babysister Blessing showing her talent.…….

Mwanangu ni anapenda sana basketball, mwanzoni nilimuacha ashiri mchezo huo alipokuwa elementary school. Alicheza mpaka darasa la saba lakini baadaye nilimzuia. Sababu haswa nilitaka a-constraint kwenye masomo zaidi kuliko michezo. Kitu ambacho kwa upande mmoja au mwingine hakikuwa kizuri kwani nili mnyima haki yake ya kuendeleza kile kitu ambacho roho uake inapenda sana.

Najua kuna wazazi wengi ambao bado wana mtazamo kama wangu, basi ngoja nikushauri kama utapenda. Ukiona mtoto wako anapenda kitu fulani au anaonyesha uwezo wa kitu fulani basi usidharau au kukatisha tamaa unless iwe ni kitu ambacho si kizuri kama kudokoa n.k  Usiweke nguvu myingi (pressure) kumuhiza akazanie no-no! Ila muonyeshe kuwa unam-support  kile anacho kifanya. Nasema usitumie nguvu sana kwani kama ni kipaji chake basi utazidi kuiona, na kama ni kitu cha mpito tuu basi baada ya muda atapoteza interest ya hicho kitu.

Dunia ya leo ni vizuri mtoto akiwa malt-talented. Dunia ya sasa si kama ile ya wazazi wetu ambapo kama mtu ni Manager wa kapuni basi utakuta ana kuwa na ma secretary wawili, leo hii wanataka Manager ambaye ajua kutype na basic computer skills kwa kwasababu ya mambo ya confidentiality makampuni mengi wanapenda Managers wa type na kuhifadhi baru wenyewe ili kupunguza risk za kuvuja kwa siri za kampuni.

Ok. Nawatakieni malezi mema  🙂  🙂

Kutoka Facebook

Nimependa sana hii picha ya Bella Ayugi-Twaakyondo.  Kwakweli kapendeza sana, uzuri wa asili, na lipstick ya rangi iliyo tulia vinavutia. Inaaonyesha ni jinsi gani Bella anajikubali na kujiamini ndiyo maana hajaangaika na makoro koro mengi usoni. Big up Bella.

FB_IMG_1428974147741

Tatizo la technology

Jamani hakuna kitu kina nikera na ninaweza kusema sikipendi kabisa kama ninavyo ona watu wako busy wakati wa mambo ya muhimu kama hapo kwenye picha chini!!

2015-04-11 19.48.14Mwanzoni nilifikiri ni mwanangu tuu ndo anahii tabia mbovu laakini kumbe watu wengi tuu; inawezekana hili likawa “janga la dunia.” Kwani si watoo, si vijana, na wala si watu wazima yani wote wana hili tatizo. Najiuliza why? Ndo madhara ya technology au ni watu tuu kujiendekeza? Mie sielewi kwani hii tabia sina, labda kutoka na field niliosoma imenifanya kidogo niwe mwangalifu sana wa tabia kama hizi.

Utakuta mtu kaalikwa kwenye sherehe, lakini yupo busy na simu it’s just so rude! Wewe umealikwa kwenye sherehe ya mwenzio kwanini usiweke mawazo pale, onyesha heshima kwa wenye shughuli. Na kama unaona ina ku bore si uondoke kimya kimya?

Wengine bila aibu wala hofu ya Mungu utakuta kanisani (not sure about Msikitini) yupo busy na simu utafikiri ni standby surgeon!! Na wengine hata kwenye ibada za mazishi wao wapo busy, yani roho ngumu kama kazaliwa na Farao!!

Embu kama unaweza badilika basi jitahidi ubadilike. Mie hapa napiga kelele sikuhizi amepunguza kidogo ila sito nyamaza mpaka atakapo acha  😉    😉

Kutoka Facebook

Nimependa sana hii picha ya leo kutoka  huko Facebook. Simply beautiful!

#MyFirstandLastBorn….. ….#UzaoWaTumboLangu……..#MyOnlyOne

FB_IMG_1428802054594

Simplicity Is Always The Best

Shout out to my cute cousin-sister Lisa Makoyo. Kwa kweli si tu kapendeza bali uzuri wake wa asili na rangi yake ya chocolate inavutia sana.

FB_IMG_1428802177847Kuna baadhi ya wanawake ambao wanafikiria kupendeza ni lazima uvae nguo za expensive designers na upake poda, na marangi rangi mengi usoni,  kumbe wala si kweli. Hivi hujawahi ona watu wanavaa vitu vya pesa nyingi nabado wanaonekana “kituko” bara barani? Yani utakuta mtu kapaka heavy makeup, aye shadow za rangi za kung’aa, bangili, hereni yani makoro koro kibao usoni. Basi hapo ndo mkute ana nguo yake ya sijui designer gani na lipstick juu, ukimwangalia utazani yule ndege mwenye mdomo mrefu aitwae Kasuku!!

Halafu pia kupendeza siyo lazima uvae nguo za bei ya ghali. Kinachotakiwa kikubwa ni usafi wa mwili na mavazi. Unaweza ukavaa nguo yako uliyo ishona kwa fundi “Chochote” na bado ukapendeza zaidi ya yule aliye vaa nguo ya bei “chafu.” Kupendeza ni muhimu sana kwa kila mwanamke lakini kujiweka mapambo mengi inaonyesha kuwa ni mwanamke mwenye low-selfesteem (hujiamini).

Jamani kwa kifupi, simplicity is always the best, and too much of anything is harmful!! Tuige mfano wa Lisa Makoyo.

BTW, Black Girls Rock 🙂  🙂

Cecilia Hairdressing Salon

2015-04-11 21.55.08
Kwa usafi na mahitaji yako ya nywele  basi fika Cecilia Hairdressing Salon iliyopo Temeke hospital, mtaa wa Wailes. Nyumba no. 74, opposite na showroom ya magari makubwa. Aksante sana!

Furaha ya Pasaka

Hivi ndivyo baadhi ya wasomaji wetu walivyo shereke siku kuu ya kufufuka kwa Bwana Yesu (Pasaka).

Mambo yalikuwa kama ifuatavyo pande za Atlanta, Georgia kwa designer maharufu Linda Bezuidenhout(owner of Lb apparel). Linda kama kawaida yake amevaa vazi la ubunifu wake yeye mwenyewe.

FB_IMG_1428375248491FB_IMG_1428375223857FB_IMG_1428375240553Na hivi ndivyo ilivyokuwa pande za Mbagala, Dar es salaam. “Undugu ndo hazina yetu” hayo maneno aliyo sema Felister Sarungi wakati akisherekea ufufuo wa Mfalme Yesu pamoja na shangazi yake Tabu Obago pamoja na Jack  na Juliet (binti wa Tabu).

FB_IMG_1428375651968FB_IMG_1428376369307FB_IMG_1428376320842Mbarikiwe wote na muendelee kufurahi katika Bwana.