Babu Sea anakuja na nyimbo ya Kijaluo?!

Nimekutana na news za Babu Sea na wanawe wakitangaza kurudi kwenye uwanja wa muziki kwa nguvu zote! Sasa nikasikiliza hii video fupi ya mahojiano yao, katika hizo nyimbo mbili zilizopigwa chorus zake hiyo ya pili imeimbwa kwa Kijaluo! Au Wajaluo wenzangu mnasemaje? Nimesikia vibaya hayo maneno au ni Kijaluo chenyewe?!! Embu msilikize….

Kijaluo lugha hatari eeh! Inapendwa kila kona, haya mtuletee tuisikilize but honestly I don’t know how to sincerely feel about it! Anyway, who am I to judge!

Leave a Reply