Category Archives: Beauty and fashion

Throw ? Thursday: Repost from 2017

Wema Sepetu katika ubora wake! Vazi limemkaa haswa aaa! Kapendeza sana! My dear Wema naomba leo nikushauri, unajuwa wewe ni our Sweetheart! Tunakupenda sana na kukutakia mema! Naomba usichukie kuhusu ushauri wangu kwani unatoka from a good place of my heart, na pia sio lazima uhufuate unaweza ukasoma na ukauwacha kama ulivyo! Na ninakuhakikishia bado nitakupenda bila kinyongo! …… Wema sikiliza: 《1》Hii karne ya 21 kuzaliwa mzuri tu haitoshi! Wewe ni mzuri sanaaaaaa! Lakini unamengi ya ku-prove ili umpate yule mume / partner unaye stahili kuwa naye KAMA KWELI HILO NI HITAJI LA MOYO WAKO!

《2》 Achana kabisa na watu /fans wako ambao saa zote wanakueweka katika muonekano wa “mashindano” na mtu fulani haswa Zari, wakati Zari got no time for nobody yani yupo busy na maisha yake! Wewe ishi maisha yako bila kupigizana kelele na mtu! Au kuweka mazingira fulani yanayo onyesha some sort of competition! Kumbuka mtu yeyote yule ambaye anataka kushindana na mtu jua huyo mtu teyari umesha mzidi ndio maana anataka aku-drug down to  his /her level! Always choose “highway” na sio mashindano!  《3》Ngoja nikwambie ukweli, wewe na Zari wote ni wazuri sana tena to be fair labda niseme wewe umependelewa zaidi na figure kuliko Zari! Hata hivyo any man ambaye ni potential au well successful will absolutely pick Zari over you! Unajua kwa nini? Zari has proven herself kuwa (a) she knows what she wants in her life! And happiness is her number one priority! Na ndio maana aliamua kuachana na marehemu Ivan Ssemwanga na kuwa na Diamond! She prefers happyness over money (b) Zari has proven kuwa she can make her man to be the best of all! She did that twice! Kwa marehemu Ivan Ssemwanga na sasa kwa Diamond! Ndio, unaweza sema ulimpenda Diamond akiwa bado “Nasib Abdul” but mdogo wangu, wenyewe wanasema hivi “a man with dreams need a woman with vision”! Na hapo ndipo Zari alipokupiga bao! You knew Nasib’s dreams but you didn’t have VISION to take Diamond where he needs to be! Plus badala ya kuwa team player ukawa kama una compete na Diamond; kumbuka zile kauli kuwa “anatembelea nyota yako” toka kwa mashabiki wako na watu wako wakaribu! Zari aliacha yote kumjenga Diamond at least for the first two yrs ya relationship yao. Building Diamond ikamsaidia kujiendeleza na yeye pia kwa ku-expand her empire in Tanzania. Wakati alionekana kama amepoteza Dira ya maisha  kwenye macho ya watu wenye mtazamo finyu lakini kwetu sisi wengine tulijua Zari is going to surprise them big time and she surely did! Kumbuka nimekwambia kuwa Zari nia yake ni kuwa na mwanaume ambaye will make her happy, and that is what exactly Diamond is doing! Spoiling her right before your eyes! Pia angalia Ivan Ssemwanga, pamoja na yote bado Zari alikuwa ndio Kimbilio na tegemeo lake! Kitu ambacho wewe mpaka dakika hii pamoja na kuteka people’s heart but none of them can trust you with their “treasure” or legacy! (c) Zari has proven kuwa she is not only a great partner but  she can hold down a family as well! She’s strong, has good family values enough to make her own family kitu ambacho wanaume wengi waliofanikiwa wanapenda kuwa nacho! Na hapa siongelei kuwa na watoto kwani watoto ni mipango ya Mungu! Ninacho kisema hapa nikuwa “grounded” enough to make someone’s house a family friendly place ambapo mtu kama Dr. Mengi atakuwa excited, and proud enough kusema I’m going home na once in a while kuwaita some of his friends for dinner! Mpaka sasa kwa hili mdogo wangu Wema, umefeli kabisa! Siku zote waliokuzunguka mmh! only God knows who they are! Embu jifunze kitu kutoka kwa aunt Ezekiel! 《4》 My dear Wema, achana na kutafuta attention zisizo na kichwa wala miguu! Don’t let them losers and fools use you my dear! Kama kweli you want to have that potential man holding your hand then you need to prove kuwa you are a woman of character! Make your man feel secured kuwa hayupo kwenye “competition” with another man! Yani kuwa akija mwenye hela zaidi yake he’s out of the league! Hii inaweza ikawa ngumu kunielewa lakini mpaka utakapo elewa hichi ninacho kwambia basi tegemea kutumika na wanasiasa pamoja na wenye pesa za “mission-town” ambao wanatafuta kuandikwa kwenye magazeti ya udaku!

《5》 Kama nilivyo sema kuwa you’ve  a lot tu-prove na kitu kingine ni kuonyesha kuwa you can stand strong alone na kua-achieve something for your own good! Kwamfano mimi sio such a “career woman” but I managed to get my college education. Nasio hivyo tu, nimelea mwanangu ambaye niko so proud of her! Plus, naishi mwenyewe hapa Marekani bila msaada wa mwanaume hivyo mwanaume yoyote yule atajua kuwa kama tumependana ni kwasababu zingine na mapenzi ya kweli nasio ugumu wa maisha wa hapa Marekani! Angalia, mfano wa karibu ni Jokate, she’s a great example kama utataka kujifunza kutoka kwake! You have to show some potentials! 《6》Lamwisho, achana na mashoga a.k.a “wadada wa mujini”! You have your sisters make them marafiki zako wa karibu. Unaweza ukawa na baadhi ya marafiki wazuri kwa kula “bata” but don’t let them be your close friends! Kwasababu naona wengi wao sio wazuri na mkikorofishana siri zako  zote wanakutolea nje wakati wewe sioni kama unatabia ya kutoa siri za watu! Hivyo achana nao kabisa! Otherwise, mie nakupenda sana na nakutakia mafanikio mema. Najua bado unanafasi ya kufanya matengenezo! Kama nimekosea naomba unisamehe sana. ❤

#Throw ? Thursday  #Repost from 2017

#Soma original post ?? WemaSepetuKatikaUboraWake

From a regular girl to District Commissioner!

Regrann from @jokatemwegelo -  From a regular girl to beauty queen to pan-african media personality to one of the top university graduates at the University of Dar Es Salaam- with honors to owning my own business, landing on Forbes Africa @forbesafrica to being a politician to being appointed by the President of Tanzania as District Commissioner - Kisarawe and to many more accolades, Amen. Dear Girl child let no one tell you can not do it all and achieve greatness on your own terms. 
 Many congratulations to our newly crowned Miss Tanzania @queenelizabethtanzania Go fly the Tanzanian flag ?? higher. You have all our blessings. To all the contestants of Miss TZ this year, congrats for making it this far. You now have a platform to make a difference in your life and our country. The choice for greatness is in your hands. And to you my sister @basillamwanukuzi , thank you for restoring the respect of Miss Tanzania. Through you, girls will be inspired to go after their dreams. As the saying goes, ‘When something is important enough, you do it even if the odds are not in your favor’.. You organized a great show even without enough sponsors and resources, but you my sister did it! Well done to you ????Looking forward to what the future holds for Miss Tanzania under your leadership and thank you for making that contribution for education in Kisarawe @newmisstanzania @mac_couture @the_queen_of_fabrics @americannailstz @kisarawe_mpya #kisarawempya #jokatekisarawe  - #regrann

You go Zari! Is not Christmas yet?!!

Regrann from @hollietheblogger – ??? So I have got a screen shot for our NEW DADDIIEE?‍♀️. 

1. It’s not the riffraff.

2. He’s 6 feet tall with a sexy moustache .

3. He’s fit and actually the muscles ? are real.

4. He a multimillionaire businessman.

5. He’s 37yrs old and has got one child ? a daughter .

6. He’s definitely not Tanzanian?

7. The Boss-lady was on a date yesterday and they went for a gateway weekend in Cape Town..Sorry KAMPALA I mean???They are still kissing and cuddling all loved up this morning. She’s so tired after passionate weekend that’s why she’s MIA??

8. I hear he’s mature and has met the kids and his daughter has bonded with Tiffa straight up??‍♂️.

9. If all goes well you will meet him by end of the year???.

10. He’s crazy about her and can’t wait for the world to know.

It took me more than an hour to get that information and my pastor don’t lie. He’s sees what I see? –

Regrann from @hollietheblogger – My eyes look weary and tired because they have been all loved and looked into all nite? They have been up all night because they were amazed and wide open looking at this incredible love staring at me.

My lip are so juicy and tender? So juicy because they have been massaged all night. They have been passionately attended to.??.

My body is all fluffy and jolly like jolof rice because a son of a man has squeezed stress out of it and Tendered it with smooth touches and rolled it left, right and centre…What can I say I have moved on and my smilling eyes, my excited lips and my body SAY IT all.???

Zari the real Bosslady

Hackers and Zanzibar prophetess please stay away… kekeke I am a doctor I know how to increase and reduce pain. Na this be reduction from all the wahala and bullishit. .. bring on another Tiffa I will baby sit abeg she needs a partner in crime to help her disturb those boys??? – #regrann

***All the credit to Hollieth blogger***

“This lady has taught me, resilience, faith and self worth”

#RepostSave @hollietheblogger with @repostsaveapp There are four pictures that define @zarithebosslady for me! All these pictures paint her journey both physically and emotionally.  @1. When she had lost Ivan and her mum and was sitting by Ivan’s graveside and was quietly dealing with Hamisa’s child scandal because the instagram was on fire ? @2. When Hamisa decided to stalk her in Kampala during her annual white party☹️. @3' After dumping Baba tee. I had never prayed for anyone the way I prayed for this lady honestly. I was that ? and angry but helpless.  @4. MY BEST PICTURE her transformation!! She took control and had swam to the other side of the river. Duh! ??? ?. ??

This lady has taught me, resilience, faith and self worth. In three words what has this lady taught you?

Mr and Mrs Mziray

Mr and Mrs Richard Mziray all the way from South Africa! Too cute!...... Haya tuna anza  moments za wapendanao. Naomba awe mume / mke halali sitaki kesi mie!! Nasitaki wale wenye ndoa za "Facebook"! Eti umezaa na mtu au umewekwa kimada unatangazia dunia kuwa "married"!! Stupid kabisa! Kama hauna cheti cha ndoa embu tuliza makalio yako huko ????  Oprah yupo na Stedman mwaka wa 30 sasa (30 yrs) lakini hata siku moja hajawahi kumRefer Stedman as her husband kwasababu anaheshimu Marriage Institution sasa nyie wanawake wa mwendokasi ndio mnajiona wajuaji sana??! Sindio maana mnapelekeshwa kama matahira mnaelimu lakini hamja elimika ?? Kama hamnielewi tazama hiyo show ya Iyana fix my life with Taryll Jackson ?

Mr and Mrs Kakoschke!

Mr and Mrs Kakoschke katika ubora wao! Wamependeza sana…….Simnajua ule mwezi wa wapendanao unakaribia kuanza?! Basi nitaanza kurusha moments za wapendanao kwa wingi kuanzia tarehe moja ya mwezi ujao! Haya wenye roho zao sehemu salama embu turingishieni basi ??

2020, je! Oprah Winfrey atajitosa kugombea urais wa Marekani?!

Hatuba fupi aliyoitoa Oprah Winfrey wakati akipokea tuzo za Cecil B. de Mille Awards kwenye Golden Globes hapo juzi kati imefanya watu wengi wajiulize kama mwanadada huyo ambaye ni billionaire mwenye mvuto mkubwa wa kushawishi watu atakuja kugombea kiti cha urais ifikapo 2020! Oprah Winfrey aliongea kwa hisia kali kuelezea jinsi wanawake wanavyokuwa wakinyanyasika, kudhalilishwa katika nyanja zote za maisha, malalamiko yao yamekuwa yakipuuzwa siku zote nasasa wakati wa hawa wanaume wanyanyasaji  umefika mwisho, "their time is up" Oprah alisema kwa ushujaa huku watu wakimshangilia. Embu msikilize kwanza ?

Kwakweli mimi nilikuaga siyo mapenzi au shabiki sana wa kuona Rais mwanamke, lakini jinsi nilivyokaa nikachukua muda wangu kuwatizama hawa wanasiasa wa kiume, honestly I now strongly supporting for a Female President! Their time is up for real! Labda tukiwa na viongozi wakuu wakike wengi kwenye dunia hii hali itabadilika kidogo, we may make this world a better place to live again! Hawa wanaume hakuna wanafanya zaidi ya ku-feed their stupid ego and using women as tools!!
Oprah Winfrey na mpenzi wake Stedman Graham
Kama Oprah aliweza kumfanikisha Rais Baraka Obama kuwa Rais wa kwanza mwenye ngozi nyeusi hapa Marekani, trust me with what is going on right now in America? Oprah Winfrey will definitely be the First Female President in America and she is BLACK!! .......Katika tuzo hiyo Oprah Winfrey ndio mwanamke wa kwanza muafrica aliyewahi pata tuzo hiyo. Sydney Portie're ndio alikuwa muafrica wa kwanza kupata, hivyo mpaka sasa ni hao wawili tu kwa upande wa watu weusi ambao wamefanikiwa kupata tuzo hiyo!

Msikilize Aunty Ezekiel akieleza historia yake na Moses

 Kama kuna wapendanao ambao nawapenda sana kwenye hii kitu inaitwa Bongo movie / Bongo flava basi ni hii couple! Mie sijawahi kaa kuangalia Bongo movie toka enzi ya Mambo Hayo (wahenga mtatujua tu ?) hata movies za marehemu Kanumba sijawahi kaa nikaangalia!Mimi siogopi kusema ukweli as truth will always set me free napia inanipunguzia marafiki wasio na tija ?? Mambo ya hawa wasanii wa siku hizi honestly yana nikera sana! Wengi tunawajua kwa scandle zao kuliko talent zao! Lakini kwakweli lazima nikubali kuwa Aunty na Moses wamenifanya nianze kuwachambua mmoja mmoja nakugundua kuwa kumbe kuna wengine wanajielewa na huwenda ipo siku moja nitakaa chini kuangalia Bongo movie tena! Natamani wasanii wakike wa aina zote wangekataa huu udhalilishaji wa wanawake unaotumiwa na promoters na media eti "kutafuta Kiki" kwa kuwekwa kwenye scandle zisizo na kichwa wala miguu ili kazi yako au kipaji chako kionekane! Huu ni udhalilishaji period!! Kama mtu ana talent tafuta njia sahihi ya watu kuona talent yake nasio kuwapa kashfa za kutembea na wanaume!! If someone got talent people will see it!! Chema chajiuza kibaya chajitembeza!!!

Anyway, back to Aunty Ezekiel na Moses wake, kumbe jina la Aunty ni jina lake halisi aliyopewa na baba yake! Mimi nilifikiria ni jina la kuigiza ? ......Halafu wewe Moses wewe huyo shetani aliyekuingia sijui alitokea wapi, sasa sisi tungemuona wapi Cookie?! ......... Please people interview ipo very raw  yani Aunty Ezekiel kafunguka haswa lakini usishangae sana kwani hayo ya kutoa mimba na kwenda kwa waganga ni mambo alifanya wakati huo yupo kwenye "giza nene" Ni mambo ya kale! Don't judge  if you know what I mean ???  Hey every Saint has a past, every sinner has a future, and who are you to judge anyone!

Me, myself, and I #TBS

  Mimi hapa nilikuwa likizo home-KekoJuu in 2010. Hapa nilikuwa navaa size 12 na hilo ndio lengo langu nishuke mpaka size 12 but never chini ya 10! Sasa hivi bado nacheza na 12 na 14 inategemea na designer.

JNM: I’d like to share with you some of the things I’m including in my TAKE TO 01/01/2018 LIST

@Regranned from @j_n_mengi – As we are about to say bye to 2017 and welcome 2018 I’d like to share with you some of the things I’m including in my TAKE TO 01/01/2018 LIST: 

1. Positivity and faith-I can’t even start to tell you how many things I manifested through my faith this year.

2. Honesty-though can seem difficult it’s the most liberating gift to self and others

3. Patience-a make or break in life but also the wisdom to know when to stop

4. Friendship-honest friends to laugh and cry with,by your side for no reason 5.Quality time spent with family-because you must always have a warm home to go to

6. Dreams-because dreams are what reality is made of and one must always have something to look forward to.

7. Doing what makes me happy-because I deserve it just like everyone else.

8. Facing my fears-because through this I get to discover my new strengths

9. Time out-because time alone allows me to connect to my inner self

10. Take it easy-what seems to be such a big deal today might not be that way tomorrow so it’s important not to take everything too seriously. Pls share with me yours too..

My 2017 best Tweet: “You are the air that I breathe”



Kuna comment nyingi kwenye hii tweet ambazo zinachekesha sana sema nimechagua hizo tu!    

Ngoja niwaambie, kwakweli hakuna kitu kizuri kama kumuona mtu kama Dr Mengi anajishusha na kumuheshimu. kumpenda  mwanamke namna hii! Yani inavutia sana kuona mtu mwenye elimu yake nzuri sana, anapesa zake, na all the power kwenye public and yet he can humble himself like that! "You are the air that I breathe"! Hivi niwanaume wangapi wa Kitanzania ambao wamesoma labda wana Masters tu wanaweza kusema maneno Kama haya kwa mkewe ambaye elimu yake ni sawa na "sifuri" kwake?!! Enyi vijana wa Kitanzania jaribuni kuiga wazee kama akina Dr Mengi mtabarikiwa zaidi! ........And Nope! Wakubwa hawafaidi!! Muheshimu na umpende mkeo kwa dhati in private and in public nawe uone kama hauta faidi!! Muache ukatili!!!...........Kwa maana hiyo hii imekuwa my best tweet for 2017! Kama mjuavyo hii blog upendo ndio dini yetu, basi tumefurahi sana na hii tweet!

Happy holidays from mama Prince Kairo and her sisterhood squad!

“Pray for a family rather than just friends . These ladies right here though ….. I love my sisters . We are so grateful to have each other’s back #PrinceKairosAunties #HappyHolidays”—– Mama Prince Kairo       Beautiful smile mama Prince Kairo! Mmependeza sana, love that sisterhood spirit! …….Happy holidays to you all! 

Faraja Nyalandu: Kubali yaishe, maumivu ya leo ni pona ya kesho.

@Regranned from @farajanyalandu - #Niliyojifunza2017
 4/10 Sio kila changamoto utakayopitia ni ya kutatua, nyingine ni za kuzivuka kama zilivyo ili ujifunze. Kwa mfano kuna changamoto zinazoweza kutokea ili kukudhihirishia watu ulionao kwenye maisha yako. Kuna watu wamefika mwisho wa safari yao kwenye maisha yako au wewe umefika mwisho wa safari yako kwenye maisha yao na kuna matukio yatakufahamisha hivyo. Kubali yaishe, maumivu ya leo ni pona ya kesho. Move on to a better day! - #regrann 

Hakuna “bibi kizee” anaye weza kukunja miguu namna hii!

Najua-najua! It's holidays season, lakini si vibaya kula ubuyu kidogo kiaina, wanasema wataalamu wa afya kuwa kusoma gossiping kidogo  kidogo ni nzuri kwa afya yako ??  Sasa huwa nasomaga baadhi ya watu wakisema kuwa Zari ni "bibi kizee" jamani labda mie sijatembea sana embu mniambie kama kuna "bibi kizee" yoyote ambaye anaweza kukunja miguu akiwa kitandani kama Zari alivyofanya?!?? I know they always say life is very difficult for the blinds lakini jaribuni kumuogopa Mungu nyie watu!! Mimi sijawahi ona, hivyo naamini hakuna bibi kizee yoyote yule hapa duniani anaye weza kukunja miguu namna hii!........ Beautiful picture, priceless!

Harusi hii watu walipendeza lakini…..!

Mr and Mrs Jons

Hii harusi ya Romy Jons mdogo wake na Diamond walipendeza sana kwenye mavazi!  

Japo kwenye nywele za bibi harusi na Zari sijaapenda sana. Hazikutengenezwa vizuri kivile!   Halafu mimi sipendi hizi suruali za kubana kwa wanaume ?? lakini sindio mambo ya fashion zao hao wa kwenye entertainment industry! Otherwise, ingeneral walipendeza.

Kitu ambacho sikukipenda ni jinsi Diamond na Zari alivyopata attention zaidi kuliko maharusi!  

It seems to me Diamond and Zari over-did themselves ambapo naona watu wakawa hawana jinsi ila kuwatizama na kuwashangilia!  

Naelewa kwanini bwana harusi alimtaka kaka yake awe msimamizi wa harusi lakini kumbuka harusi ni siku yako moja tu ambayo unatakiwa kupata all the attention na siyo mtu  mwingine! Hivyo kuwa na “mastar” wawili ndio wasimamizi wake I think was a bit too much! Especially mastar wenyewe ndio wale ambao wako “hyper” 24/7 lazima wata overshadow your day! Harusi huwa haijurudii ni kitu cha mara moja  labda uwe na “nyota” kama ya Irene Uwoya ndio utafanya harusi mbii hivyo usifanye makosa ambayo utajutia baadaye! Otherwise Hongera zao!  

Esma (wifi mtu) alipendeza zaidi kuanzia kichwa mpaka nguo! 

Nasikia mama Diamond katangaza kuwa anamimba? ??? Naona hii familia imeamua kuwa kama the Kadashians wa hapa Marekani ?? Who am I to judge?! Just wishing her well, twamsubiria huyo mziwanda!

Happy birthday Mrs Mengi!

Nakutakia kheri katika siku yako hii kuu! Mungu akuongezee baraka, amani, na afya njema! Asante sana kwa kuniacha nitumie picha zako, za familia yako, na marafiki zako kwa blog yangu bila kikwazo chochote! Yani najichagulia tu utasema zangu ?? ubarikiwe sana mama wawili pamoja na familia yako! Happy birthday beautiful Mrs Billionaire ??❤

Akin Akman inspirational: They call it pride, I call it class. Lions don’t mingle with cats.

They call it pride, I call it class. Lions don’t mingle with cats. No matter the economy of the jungle, lions will never eat grass. Respect everyone but never ever forget that you’re equally important. Be friendly to everyone but never try to be everybody’s friend. Be open but selective. If you flock with penguins, you will never fly like eagles. If you’re NOT being treated with love & respect, check your “price tag”. Perhaps you have marked yourself down. If you present yourself funny, people will treat you like a joke. No one can sit on your back if you’re standing on your feet. Sometimes where you stand determines how people values you in life, and the price you put on yourself determines your worth. Get off the “clearance rack” and get behind the GLASS where they keep all the “valuables and NEW ARRIVALS. Once you know your worth, how people values you becomes irrelevant. Akin Al-Ameen®™2017 . 

Womanhood

Madam Rita katika ubora wake ? Kuna ubuyu fulani nautamania sijui niseme ?? simnaona kitu Cha Diamond kwa kidole cha madam?! So who is the “mystery man” behind that bling-bling? Wapenda ubuyu mtatujua tu ??……….  Anyway, madam wetu kapendezaje sana. I hope the mystery man is worth it all,  a woman like you who hassle like that deserves more than an average man! O’hello!! Can we talk?!!! she’s Madam Rita Paulsen for people’s sake! ?????

Womanhood!

The one and only Dr. Ellikunda Kihengu a.k.a Dr. Elly Kihengu kutoka Houston, Texas! When we talk about Tanzanian women in the diaspora, women with brain and integrity you can’t miss her name  unless you are hater ?? mzurije sasa, beauty and brain =Extra extra beauty in madam Rita Paulsen’s voice ?

Womanhood!

“Your mental growth totally depends on you and the effort you’ll make towards that growth. Feed your brain with the right information and you’ll see positive changes in your life, feed it with rubbish and that’s exactly what you’ll end up with. You only have one life to live, choose wisely!” JNM