Category Archives: Inspirational stories

Tuwe na huruma kidogo!

FB_IMG_1469659269564Nimeguswa na hii story! Kama wewe ni mpenda ku bargain basi uwe unakwenda ku bargain kwa TRA na si wafanya biashara ndogo ndogo! Ukisoma hii story kama unaroho ya kiungwana basi lazima ikuchome kama pasi!! Mimi huwa sipendi bargaining hivyo huwa nafanya kwa nadra sana! Haya embu msoma hii story………… Screenshot_2016-08-14-18-30-08-1

My Little Traveling Library

Screenshot_2016-08-14-08-33-56-1

Screenshot_2016-08-14-15-26-49-1Ubunifu uliyo tukuka! Haya Watanzania tumuunge mkomo mwenzetu na kurahisisha maisha ya underprivileged in Tanzania……….  Hongera sana!

Sasha Obama akibeba “box”

Sasha Obama akifanya kibarua chake wakati huu wa Summer break. Pamoja yakuwa yeye ni mtoto wa Rais lakini hajaona shida au haya kuwa na kibarua kwani anataka ku experience maisha kama watoto wengine wa umri wake wanavyo ishi hapa Marekani japo yeye hana shida ya pesa kama wengi. Ni mfano mzuri sana wa kuigwa haswa kwa watoto wa matajiri…………..Mwaka juzi dada yake Maria, alifanya kazi na baadhi ya ma producer fulani kama kibarua chake cha Summer kwani yeye anapenda kuwa Actress………….anyway, Sasha anaweka historia ya kuwa mtoto wa kwanza wa Rais wa Marekani kufanya kibarua kwenye mgahawa!…………..beautiful! FB_IMG_1470772160639

15 Sets of People you must meet in this Second Half of the Year 2016…*

1. *The Encouragers* – even in discouraging situations of life, these people keep you going with encouraging words; MAY YOU MEET THEM.

2. *The hand lifters*- They are those whose hands are strong enough to hold yours up when you are weak; MAY YOU MEET THEM.

3. *Destiny Helpers*- They provide shoulders upon which you ride to fulfilling your dream and destiny; MAY YOU MEET THEM.

4. *The Givers*- these ones will give of their time, talent, and treasure to you in your hour of need; MAY YOU MEET THEM.

5. *The Receivers*- these ones are different from routine takers and serial beggars. You can’t be blessed if you don’t give, and you can’t give if there is no one to receive. Not all lands bring forth fruits, and not all hands that receive command blessings. You need those whose receiving hands will trigger abundant blessings unto you; MAY YOU MEET THEM.

6. *The Prayer Conquerors*- You need more than prayer warriors IN 2016. Many Prayer warriors pray from their heads only; Prayer conquerors pray from their heart and conquer; MAY YOU MEET THEM.

7. *The Recommenders*- these are the ones who mention your name in quarters where your skills and talents will be celebrated; MAY YOU MEET THEM.

8. *The Correctors*- these are the ones who honestly tell you when you are wrong; they prevent you from digging a grave of mistakes that may bury your destiny; MAY YOU MEET THEM.

9. *The Committed*- whether things are up or down, these ones are standing with you; MAY YOU MEET THEM.

10. *The Loyal*- they work with you with all of their hearts to make things work in your life; MAY YOU MEET THEM.

11. *The Truth-Tellers*- they will not call night day, and day night; MAY YOU MEET THEM.

12. *The Altruists*- these ones believe that life is not just about them, it is about you too; MAY YOU MEET THEM.

13. *The Reliable*- You can count on them when it counts most; MAY YOU MEET THEM.

14. *The Contented*- these ones are not greedy, they are satisfied with whatever they get from you and they bless you from their heart for it; MAY YOU MEET THEM.

15. *Lovers and Pursuers of God & Godly Life*- these ones are always connected to God; MAY YOU MEET THEM, so you will never be disconnected from your source who is your MAKER. ETERNAL ROCK OF AGES AND KING OF KINGS.

Nothing will block your ways in Jesus name.
Author Unknown! FB_IMG_1470769411468By, Stephen Mndalila

“Watanzania, mimi sikubali kuwa jiwe”-Mwl. J.K Nyerere

Kisa hichi kinanikumbusha story ya mke wa Lutu kwenye Biblia japo hakifanani sana lakini the moral of the story still the same. Ukitaka kusonga mbele na kuwa na mafanikio makubwa inabidi kuwa jasiri sana wakutosikiliza ya watu! Watu ambao wanajua kuwa “wamechemsha” kwa kutofata mashariti ya kufika to their “promise land” or destiny wengine huwa wanakua na busara na kutumia experience yao kwa kuwafundisha au kuwaambia wengine wasifanye makosa walio fanya. Lakini kuna ambao wanakuwa na hasira sana na wengine na kuanza kupiga makelele kwa wale ambao wanaonyesha muelekeo wa kufika kwenye nchi ya asali…….. Watu hao ndo wazushi, waongo, wachonganishi, wapika majungu n.k hayo yote wanafanya kuwakatisha tamaa wale ambao wanaonyesha dalili ya kufanikiwa. DON’T  NEITHER LISTEN NOR  JOIN THE NOISE MAKERS! They are nothing but biggest losers! USIKUBALI KUWA JIWE!!

You are who are, and you’re enough!

No matter who you are, what you look like, or what you share with the world, there will always be someone who doesn’t approve. And that’s okay. You’re not going to like everyone and not everyone is going to like you. And that isn’t some fundamental failing on your part — that’s just life. It’s normal, and it’s nothing to beat yourself up over. There’s nothing wrong with wanting to be accepted, but you shouldn’t ever have to change who you are for the sake of winning someone else’s approval. You don’t live for other people. It isn’t your job to conform to their idea of what constitutes a “worthwhile” human being. You are who you are, and you’re enough. Instead of focusing on all the people who don’t accept or appreciate you, take some time today to remind yourself of all the people who do. It’s easy to forget about them, but they exist and they care. They’re the people who matter. To them, you matter. Let go of the rest.

2016-06-30 09.17.03Whoever wrote that ☝ (from one of THC members) may God bless your heart! You have touched my heart today in so many ways! Blessings be upon you ?

 

Tunakuwa wema kwa watu baki, lakini majumbani ni shida!

Tunakua wema kwa watu baki, lakini majumbani mwetu hasa kwa watoto zetu shida tupu

Nilikuwa nikiwahi kazini, nikiwa natembea haraka haraka nikaparamiana na mtu ambaye sikuwa nikimfahamu ” kwa kujishusha na kwa ukarimu nikamwambia samahani sana ndugu yangu, sikukuona ndio maana nikakuparamia, nisamehe sana.” FB_IMG_1467435053811Nilikuwa mpole mno wakati nikimwambia hayo. Na alinielewa na kunisamehe. Nikaendelea na safari yangu.

Lakini nyumbani ilikuwa ni hadithi nyingine. Jioni ya siku ile wakati napika jikoni, binti yangu alikuwa nyuma yangu akiwa amesimama. Nilipogeuka nilimparamia na kumuangusha.

Nilimkaripia nakumwambia pumbavu sana sasa unakaa nyuma ili iweje, haya inuka na uondoke hapa upesi sitaki nikuone!

Aliinuka na kuondoka pale kwa huzuni huku akilia. Sikutambua ni kwa jinsi gani nilikuwa mkali kwake.

Usiku wakati nimelala usingizi haukunijia na nikaanza kuwa katika fikra nzito nikafikiri nikiwa nimekwaruzana na watu nisiowafahamu barabarani nakuwa mpole kwao na kuomba radhi, ila kwa mwanangu nimpendae nimemuangusha hata samahani sijamuomba zaidi nimemkaripia!

Nikiwa naendelea kuwaza hilo akili yangu ikanisukuma niende nikaangalie angalie jikoni, kwenda kuangalia nikakuta maua yakiwa chini sakafuni ni maua ambayo binti yangu aliyachuma na alitaka kunipa kwa kuni suprise.

Niliyakusanya yale maua vizuri na nikayaweka ktk muonekano wake na nikaelekea chumbani kwa binti yangu. Niliinama na kumuamsha “amka mwanangu, amka!” haya maua ulichuma kwa ajiki yangu?

Alitabasamu a kuniambia “nimeyaona nyumba ya jirani nikaomba nikate machache kwa sababu ni mazuri kama wewe mama yangu” hapo hapo nikamwambia “binti yangu samahani sana kwa nilivyokua mkali kwako baada ya kukuangusha, sikutakiwa kukukalipia” binti akaniambia “usijali mama yangu, hata hivyo nakupenda” nikamwambia nami nampenda na nimeyapenda maua. Nikamfunika vizuri na kumtakia usiku mwema.

Usiku ule mwanangu alifariki kwa kubanwa na pumu, niligundua hilo baada ya asubuhi kwenda kumuamsha awahi shule. Nililia mno! Mpaka leo sijamsahau mwanangu machungu mengi mno moyoni mwangu.

Huwa najiuliza ingekuwaje kama angefariki na kinyongo cha mimi kumkaripia siku ile? Ila ninachoshukuru Mungu nilitengeneza amani nae kwanza. Ndipo mwenyezi Mungu akamchukua.

Muhimu: 

Hivi unajua kama ukifa leo kampuni yako unayofanyia kazi wanaweza wakamweka mtu mwingine kwa kipíndi kifupi tu kwenye nafasi uliyoiacha wazi?

Lakini kupoteza mwanafamilia ni hasara kubwa na pengo halizibiki kamwe! Umeshajitathimini na kujiona ni jinsi gani unaetendea familia yako? Mke wako, watoto wako au wazazi wako. Najua unaweza ukawa umejisahau.

Jifunze kuwatendea mema wapendwa wako, isije kuwa majuto ni mjukuu. Na kumbuka vitu hutumiwa na watu hupendwa.

Neno “Ningejua” huja mwisho wa safari

Mungu atusaidie.

Source: Tweve Hezron Facebook page 

If you aren’t prepared to carry her heels when she’s tired, then you shouldn’t be next to her when she’s in the spotlight!

DEAR MEN, FB_IMG_1467119325495Sometimes it’s not just about opening the door to let her in first, any guy can do that when he knows that there’s people watching – just for the sake of the credit. Rather make sure her seat belt is on before you start driving. Sometimes it’s not about walking her down that isle where there’s a lot of people just because you want everyone to notice her and she’s looking fancy in her heels. You feel proud to be with her, yes but you also need to appreciate her effort. Walk her down a route that is comfortable with her, that’s less painful and less risk of her actually getting injured. If you aren’t prepared to carry her heels when she’s tired, then you shouldn’t be next to her when she’s in the spotlight. The strength of your bond should never be determined by the number of likes that your pictures with her actually receive on social media. You should never let the opinion of a friend determine whether you spend your life with her or not. We don’t often choose who we fall in love with, it just happens. You then realize loyalty is no longer an option. You begin to plan things in your head with her. All those love songs that you’ve always hated start to make sense to you. No matter how much of a tough guy you claim to be, she has tamed your soul without you actually noticing it. You begin to talk about her unknowingly to your friends, you think about her as soon as you wake up, during the day and before you sleep. When she starts to tear, you shouldn’t offer her something to wipe it off rather remain with her and let her know she’s not alone, hold and let her know that she has someone to fall back on. It’s not about only being with her on special occasions just to make her feel special in front of the world. It’s about being with her even when no one is watching. At the end of it all, it’s not about how much time she spends with you, it’s about the feeling you get every single time you see her name popping as a notification on your phone… Yes, it’s that same person you’re thinking about right now!

Source: Get-inspired by Ti-Sha 

The engine of a giant ship failed to start!

The ship’s owners tried one expert after another, but none of them could figure out how to fix the engine.

Then they brought in an old man who had been fixing ships since he was a youngster. He carried a large bag of tools with him, and when he arrived, he immediately went to work. He inspected the engine very carefully, top to bottom.

Two of the ship’s owners were there, watching this man, hoping he would know what to do. After looking things over, the old man reached into his bag and pulled out a small hammer. He gently tapped something. Instantly, the engine lurched into life. He carefully put his hammer away. The engine was fixed!

A week later, the owners received a bill from the old man for ten thousand dollars.

“What?!” the owners exclaimed. “He hardly did anything!”

So they wrote the old man a note saying, “Please send us an itemized bill.” FB_IMG_1467062470100The man sent a bill that read:

Tapping with a hammer $ 2.00

Knowing where to tap $ 9998.00

Effort is important, but knowing where to make an effort makes all the difference!

Source: Dr. Ben Carson Facebook page, 

“The Decision That Changed My Life: Keeping My Baby”- Maya Angelou

“When I was 16, a boy in high school evinced interest in me, so I had sex with him — just once. And after I came out of that room, I thought, Is that all there is to it? My goodness, I’ll never do that again! Then, when I found out I was pregnant, I went to the boy and asked him for help, but he said it wasn’t his baby and he didn’t want any part of it.

I was scared to pieces. Back then, if you had money, there were some girls who got abortions, but I couldn’t deal with that idea. Oh, no. No. I knew there was somebody inside me. So I decided to keep the baby.

My older brother, Bailey, my confidant, told me not to tell my mother or she’d take me out of school. So I hid it the whole time with big blouses! Finally, three weeks before I was due, I left a note on my stepfather’s pillow telling him I was pregnant. He told my mother, and when she came home, she calmly asked me to run her bath.

I’ll never forget what she said: “Now tell me this — do you love the boy?” I said no. “Does he love you?” I said no. “Then there’s no point in ruining three lives. We are going to have our baby!”

What a knockout she was as a mother of teens. Very loving. Very accepting. Not one minute of recrimination. And I never felt any shame.

I’m telling you that the best decision I ever made was keeping that baby! Yes, absolutely. Guy was a delight from the start — so good, so bright, and I can’t imagine my life without him.

At 17 I got a job as a cook and later as a nightclub waitress. I found a room with cooking privileges, because I was a woman with a baby and needed my own place. My mother, who had a 14-room house, looked at me as if I was crazy! She said, “Remember this: You can always come home.” She kept that door open. And every time life kicked me in the belly, I would go home for a few weeks.

I struggled, sure. We lived hand-to-mouth, but it was really heart-to-hand. Guy had love and laughter and a lot of good reading and poetry as a child. Having my son brought out the best in me and enlarged my life. Whatever he missed, he himself is a great father today. He was once asked what it was like growing up in Maya Angelou’s shadow, and he said, “I always thought I was in her light.”

Years later, when I was married, I wanted to have more children, but I couldn’t conceive. Isn’t it wonderful that I had a child at 16? Praise God!” FB_IMG_1467032500845Maya Angelou from the essay “The Decision That Changed My Life: Keeping My Baby” in 2001 found in the Family Circle Magazine.

Today you have the best opportunity to make the best out of the life you have right now. Don’t wait for things to get better, make them better. The Angelou Johnson Family.