Category Archives: Jokate being Jokate #Kidoti

TBS: Sikia wewe mwanadada

Sikia wewe mwanadada ❤️

Mwenyezi Mungu hakuumba mwanamke dhaifu, kuwa tegemezi kwa mtu zaidi yake yeye Mungu. Maandiko matakatifu yanasema kitabu cha Mwanzo aya ya kwanza mstari wa 27-28; Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba; mwanaume na mwanamke aliwaumba. Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia; zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini na ndege wa nchi. 

Kwa maana fupi Mungu ametuumba sote kwa mfano wake na ametupa sote uwezo na mamlaka ya kutawala dunia na kila kitu kilichomo ndani yake. Tumebarikiwa wote sawa kwenye roho. Tofauti ni maumbile ya nje. Ambayo hayana nguvu kabisa mbele ya roho. Roho haiifi, mwili hufa. 

Kwenye kitabu cha Mithali aya ya 31 kuanzia mstari wa 10. Mungu anazungumza juu ya mke bora. Yaani mwanamke anayefaa kuolewa au kupewa majukumu na vyeo vya juu. Huyu anasema ni mwanamke mwenye akili na busara, mwenye kujitambua, mwenye mali zake mstari wa 16 imeandikwa huangalia shamba akalinunua kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. 

Mwanamke jitambue, jithamini. Una uwezo wa kusimama wewe kama wewe ukisimamia neno na kumtumainia Mungu. Umezaliwa kuwa tajiri na mmiliki wa kila kitu kizuri duniani. Tatizo wengi hatujitambui tunafikiria mwanaume ndio wa kutupa furaha/mali tunasahau Mwenyezi Mungu ametupa wote uwezo sawa wa kuitawala hii dunia na vilivyomo na kuboresha nafasi zetu. Tujitafakari na tubadilike. Mungu angetaka usitumie akili yako asingekupa vile alivyokupa vikusaidie kujenga maisha yako. Acha leo kuwa mtumwa. 
Hata mimi nilipotea na kuwa mtumwa kwa mtu  nikadharauliwa na kupoteza thamani yangu kwa Mungu but never again ❤️ @dennis_wisee

**Nime post tena hii article kutoka kwa Jojo! Aliandika mwezi wa tatu**

Jokate Mwegelo: USIKATE TAMAA, BADO LIPO TUMAINI

Kabla hujakata tamaa hebu jiulize ni watu wangapi wanaokutegemea? Ni wangapi walioko nyuma yako ambao wanatiwa moyo na mafanikio yako? Ni wangapi ambao wanaku-support? Ndio ujue kuwa kukata kwako tamaa kutaumiza wengi. Hata kama unahisi kuchoka hebu jitie moyo kwaajili ya hawa. Kumbuka maadamu unapumua bado unaweza kufanikiwa.  USIKATE TAMAA, BADO LIPO TUMAINI. (Luka 18:1)

#KIDOTI cc @pastor_nick_shaboka ❤

Jokate Mwegelo: Kitu cha kwanza awe na hofu ya Mungu!

Wow! Nimefurahije!! Nilikwenda kwa YouTube kutafuta video fulani ya Jokate (zile za kuwa mgeni rasmi shule ya Mugabe, please Jojo ziweke kwa YouTube) nikakutana hii short interview kati ya MCL Extra na Jokate. Ni interview fupi lakini nimeipendaje sasa!! Jokate anasema anatamani sana kuwa na familia and she can't wait for it to happen! Na kuwa mwanaume anaye mpenda kitu cha kwanza lazima awe na hofu ya Mungu! ......... Well, kwanza pole sana Jokate kwa kuuguliwa na baba, mkono wa Mungu wa uponyaji uwe naye, na amani ya Bwana iwazunguke wote. Pili, Safi kabisa kumtaka mwanaume ambaye ana hofu ya Mungu siyo tu ya mdomoni bali kwa matendo yake! Mwanaume ambaye atakuwa teyari kwa hiyari yake kusema tupige magoti tuombe! Siyo wewe ndio umlazimishe kusali. Unataka mwanaume ambaye mkipata shida atasema tumkimbilie Mungu siyo waganga wa kienyeji na dini za mazingaombwe! Kama mapenzi ya Mungu basi akupe mwanaume mwenye imani sawa na wewe! Sikatai wapo watu walio owana wa imani tofauti lakini lazima tukubali kuwa hakuna kitu kigumu kama kulea watoto katika imani mbili tofauti!! Pia ukiomba mwambie Mungu akupe mwanaume ambaye hayupo kwenye spotlight sana kama wewe (Yani asiwe mtu wa kutafuta followers na likes kwenye social media) someone in a corporate world siyo siasa wala entertainment industry! Someone with strong family values kama wewe. Anayependa na kujali ndugu zake kwani huyo atakuwa anaelewa nini maana ya familia. Ukiona mwanaume kaowa au kafanikiwa kidogo tu halafu ndugu zake kawabwaga muogope kama ukoma! Something must be seriously wrong somewhere! Na huyo mwanaume awe mkarimu and fun to be around, Nani anataka mwanaume mwenye gubu?! Au kutwa kuvimbisha masharubu kama chura ?? ..... I strongly believe Mungu atakupa very soon! You're such a phenomenal young lady with a bright future! Tena akubariki uzao wako wa kwanza uwe mapacha wa kike na kiume ????? babysitter nipo ??

Nionyeshe marafiki zako nami nitakwambia wewe ni mtu wa namna gani!

Jokate Mwegelo (kushoto) akiwa na rafiki yake Sir. Theodora

Je, rafiki yako ni Nan?! Leo nimekwenda chungulia kwa mrembo wetu Jokate Mwegelo nikakuta kaweka picha za yeye na rafiki yake waliosoma wote secondary, nikafurahi sana moyoni kwani inaonyesha kuwa Jokate ni rafiki mwema. Pia nikaangalia rafiki yake huyo anamuonekano gani! Nikapata jibu, na hapa ndipo nikakumbuka ule usemi wa  wenzetu unaosema kuwa ‘nionyeshe marafiki zako nami nitakwambia wewe ni mtu wa namna gani’! “Show me your friends and I will tell you who you are”!  Watu unaokaa nao au kuongea nao kwa muda mwingi wana uwezo mkubwa wa ‘kukuambukiza’ tabia zao! Tabia zao zinaweza zikakujenga vyema au kukuangamiza! Pia kuna msemo wao mwingine unasema ” show me your friends and I will tell you your future” kwamba; nionyeshe marafiki zako nami nitakueleza maisha yako yabadae! Kwa mfano: kama wewe umezungukwa na marafiki waongo na wambea  basi wewe lazima utaishia kuwa mwanachama wa “SHILAWADU” ????? #Nionyeshe marafiki zako nami nitakwambia wewe ni mtu wa namna gani’! Choose your friends wisely! 

“Sr. Theodora nilisoma nae shule mmoja Sekondari. Alipokuwa Form 6 mimi nilikuwa F3. Ila saaa ndio mwalimu mkuu wa @stjchstz_official nilifurahi aliponialika kuongea na wanafunzi wake.” ~~~~~Jokate 

Siku ya mtoto wa kike duniani: Jokate awa mgeni rasmi shule ya Turiani, Magomeni, Dar!

 

Jokate Mwegelo ndie aliye kuwa Mgeni Rasmi siku ya leo ambayo ni siku ya maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani yaliyofanyika katika shule ya sekondary ya Turiani Magomeni. Alipata nafasi ya kuongea na wanafunzi wa kidato cha kwanza na tatu yaliyo andaliwa na taasisi ya @mwanamke_na_uongozi Iliyokuwa na kauli mbiu Thamani Ya Binti Na Uongozi Wa Maadili! “Walikuja kunitembelea, nikawaalika chakula tukala wote then tukapozi kwa picha ?” J. Mwegelo

Jokate Mwegelo: You can check me out featured in this months @ Elle South Africa magazine. ?

You can check me out featured in this months @ellesouthafrica magazine. ?” ~~~~~ Jokate Mwegelo My Jojo looking ???……. I love them sneakers ??

Yessss! Jojo is back!

Proudly made in Bongo Land @mac_couture ?❤️. I love the clarity of this pic shot by the kid @m.a.k.u.n.g.u and of course the flawless hair and make up by Dada Deee @americannailstz
Miss Jojo. Dress By @mac_couture Image Shot By @m.a.k.u.n.g.u ?❤️??
I missed y’all walahy. So I’m happy I’m kinda back, ??‍♀️. That billion ? smile shot by the baddest @m.a.k.u.n.g.u
Huwa napenda ku-support vipaji vipya kwenye tasnia hii ya ubunifu wa mitindo Tanzania. Leo nawaletea huyu @mac_couture nguo anashona mwenyewe. Beautifully and wonderfully made in Tanzania ?????‍♂️

I’m super happy my beautiful, smart, elegant, kind, loving, and “environmental friendly” babysister is back just like the way I wished!! ?? Yes! Such an environmental friendly lady; wanawake wengine ni hatari kwa mazingira yetu tunayo ishi!! Maongezi yao yamejaa chuki na uchochezi tuuu! Kazi yao is to pollute hali ya hewa ili kila mtu awe miserable kama wao! Wanawake kama Jojo ni wanawake adimu sana siku hizi! Woman with class!…….so happy! Welcome back baby girl you look AMAZING! Gorgeous is understatement kwakweli……….. We love you Jojo!?? ??

 

Auntie JoJo na mwanetu!

Unaweza kuniita pia Auntie Jojo. Na mtoto wangu Hiram Emmett Sengeu ❤️?❤️

Mmemuona auntie Jojo alivyopendeza na mtoto wetu ❤! Auntie Jojo anaonekana anaweza kuwa auntie poa sana! Muonekano na roho yake ilivyo yatosha kujua kuwa she can be the best mama and aunt at the same time! Ngoja nami nitakuita siku moja unilele mwanangu angalau kwa siku moja, oops! Nilisahau hivi mimi ndio nilikuahidi ku-babysit ??? nimesha badili kibao,  what a shame ??……….. Nice one!

Jojo! Katika ubora wake!

Need I say more! My girl Jojo looking A-maz-ing as always! Unajua siku zote hakikisha you look intelligent than “sexy” utaheshimika sana! Looking sexy is okay but its just not right!   My Jojo looks beautiful, elegant, and intelligent ? it!

Hongera sanaaaaaa Jokate!

“Nafurahi kutajwa na jarida la Forbes na pia kupamba ukurasa wao wa juu kama mmoja kati ya vijana 30 Afrika wanaofanya vyema katika ujasiriamali na kutengeneza uchumi unaohamasisha mabadiliko chanya kwenye jamii zetu. Mungu yu Mwema. Tunaendelea kupambana mpaka kieleweke.” Hongera sana Jokate! Uzidi kwenda mbele na ubarikiwe sanaaaaaa zaidi ya hapo! ??

Happy belated birthday JoJo!

How did I missed it!! But you know I love you JoJo! Wishing you countless blessings from Sir God, the one created the earth and heavens! Happy belated Jokate! 

“Ninafurahi kujumuika na akina mama na akina dada nyuma ya kampeni hii” -Jokate Mwegelo

Katika ubora wake!

Jojo and the Carters’!

Awwwih! Umesoma hiyo caption?! Isn’t that something! Nilisema last year around October or November kuwa Jokate is our “Princes Diana” she is going to be big kuliko unavyo fikiria and conquer the unconquerable! Keep on shining Jojo vijana wa Tanzania na Africa wanakutegemea sana. Show them the way!  We love you!Wow! Mungu ajalie kheri tu kwani tunawakaribisha kwa mikono miwili!

Jokate at her best! #Kidoti

screenshot_2016-11-24-11-32-07-1screenshot_2016-11-24-11-30-59-1Holidays