Category Archives: Lifestyle!

Throw ? Thursday: Repost from 2017

Wema Sepetu katika ubora wake! Vazi limemkaa haswa aaa! Kapendeza sana! My dear Wema naomba leo nikushauri, unajuwa wewe ni our Sweetheart! Tunakupenda sana na kukutakia mema! Naomba usichukie kuhusu ushauri wangu kwani unatoka from a good place of my heart, na pia sio lazima uhufuate unaweza ukasoma na ukauwacha kama ulivyo! Na ninakuhakikishia bado nitakupenda bila kinyongo! …… Wema sikiliza: 《1》Hii karne ya 21 kuzaliwa mzuri tu haitoshi! Wewe ni mzuri sanaaaaaa! Lakini unamengi ya ku-prove ili umpate yule mume / partner unaye stahili kuwa naye KAMA KWELI HILO NI HITAJI LA MOYO WAKO!

《2》 Achana kabisa na watu /fans wako ambao saa zote wanakueweka katika muonekano wa “mashindano” na mtu fulani haswa Zari, wakati Zari got no time for nobody yani yupo busy na maisha yake! Wewe ishi maisha yako bila kupigizana kelele na mtu! Au kuweka mazingira fulani yanayo onyesha some sort of competition! Kumbuka mtu yeyote yule ambaye anataka kushindana na mtu jua huyo mtu teyari umesha mzidi ndio maana anataka aku-drug down to  his /her level! Always choose “highway” na sio mashindano!  《3》Ngoja nikwambie ukweli, wewe na Zari wote ni wazuri sana tena to be fair labda niseme wewe umependelewa zaidi na figure kuliko Zari! Hata hivyo any man ambaye ni potential au well successful will absolutely pick Zari over you! Unajua kwa nini? Zari has proven herself kuwa (a) she knows what she wants in her life! And happiness is her number one priority! Na ndio maana aliamua kuachana na marehemu Ivan Ssemwanga na kuwa na Diamond! She prefers happyness over money (b) Zari has proven kuwa she can make her man to be the best of all! She did that twice! Kwa marehemu Ivan Ssemwanga na sasa kwa Diamond! Ndio, unaweza sema ulimpenda Diamond akiwa bado “Nasib Abdul” but mdogo wangu, wenyewe wanasema hivi “a man with dreams need a woman with vision”! Na hapo ndipo Zari alipokupiga bao! You knew Nasib’s dreams but you didn’t have VISION to take Diamond where he needs to be! Plus badala ya kuwa team player ukawa kama una compete na Diamond; kumbuka zile kauli kuwa “anatembelea nyota yako” toka kwa mashabiki wako na watu wako wakaribu! Zari aliacha yote kumjenga Diamond at least for the first two yrs ya relationship yao. Building Diamond ikamsaidia kujiendeleza na yeye pia kwa ku-expand her empire in Tanzania. Wakati alionekana kama amepoteza Dira ya maisha  kwenye macho ya watu wenye mtazamo finyu lakini kwetu sisi wengine tulijua Zari is going to surprise them big time and she surely did! Kumbuka nimekwambia kuwa Zari nia yake ni kuwa na mwanaume ambaye will make her happy, and that is what exactly Diamond is doing! Spoiling her right before your eyes! Pia angalia Ivan Ssemwanga, pamoja na yote bado Zari alikuwa ndio Kimbilio na tegemeo lake! Kitu ambacho wewe mpaka dakika hii pamoja na kuteka people’s heart but none of them can trust you with their “treasure” or legacy! (c) Zari has proven kuwa she is not only a great partner but  she can hold down a family as well! She’s strong, has good family values enough to make her own family kitu ambacho wanaume wengi waliofanikiwa wanapenda kuwa nacho! Na hapa siongelei kuwa na watoto kwani watoto ni mipango ya Mungu! Ninacho kisema hapa nikuwa “grounded” enough to make someone’s house a family friendly place ambapo mtu kama Dr. Mengi atakuwa excited, and proud enough kusema I’m going home na once in a while kuwaita some of his friends for dinner! Mpaka sasa kwa hili mdogo wangu Wema, umefeli kabisa! Siku zote waliokuzunguka mmh! only God knows who they are! Embu jifunze kitu kutoka kwa aunt Ezekiel! 《4》 My dear Wema, achana na kutafuta attention zisizo na kichwa wala miguu! Don’t let them losers and fools use you my dear! Kama kweli you want to have that potential man holding your hand then you need to prove kuwa you are a woman of character! Make your man feel secured kuwa hayupo kwenye “competition” with another man! Yani kuwa akija mwenye hela zaidi yake he’s out of the league! Hii inaweza ikawa ngumu kunielewa lakini mpaka utakapo elewa hichi ninacho kwambia basi tegemea kutumika na wanasiasa pamoja na wenye pesa za “mission-town” ambao wanatafuta kuandikwa kwenye magazeti ya udaku!

《5》 Kama nilivyo sema kuwa you’ve  a lot tu-prove na kitu kingine ni kuonyesha kuwa you can stand strong alone na kua-achieve something for your own good! Kwamfano mimi sio such a “career woman” but I managed to get my college education. Nasio hivyo tu, nimelea mwanangu ambaye niko so proud of her! Plus, naishi mwenyewe hapa Marekani bila msaada wa mwanaume hivyo mwanaume yoyote yule atajua kuwa kama tumependana ni kwasababu zingine na mapenzi ya kweli nasio ugumu wa maisha wa hapa Marekani! Angalia, mfano wa karibu ni Jokate, she’s a great example kama utataka kujifunza kutoka kwake! You have to show some potentials! 《6》Lamwisho, achana na mashoga a.k.a “wadada wa mujini”! You have your sisters make them marafiki zako wa karibu. Unaweza ukawa na baadhi ya marafiki wazuri kwa kula “bata” but don’t let them be your close friends! Kwasababu naona wengi wao sio wazuri na mkikorofishana siri zako  zote wanakutolea nje wakati wewe sioni kama unatabia ya kutoa siri za watu! Hivyo achana nao kabisa! Otherwise, mie nakupenda sana na nakutakia mafanikio mema. Najua bado unanafasi ya kufanya matengenezo! Kama nimekosea naomba unisamehe sana. ❤

#Throw ? Thursday  #Repost from 2017

#Soma original post ?? WemaSepetuKatikaUboraWake

You go Zari! Is not Christmas yet?!!

Regrann from @hollietheblogger – ??? So I have got a screen shot for our NEW DADDIIEE?‍♀️. 

1. It’s not the riffraff.

2. He’s 6 feet tall with a sexy moustache .

3. He’s fit and actually the muscles ? are real.

4. He a multimillionaire businessman.

5. He’s 37yrs old and has got one child ? a daughter .

6. He’s definitely not Tanzanian?

7. The Boss-lady was on a date yesterday and they went for a gateway weekend in Cape Town..Sorry KAMPALA I mean???They are still kissing and cuddling all loved up this morning. She’s so tired after passionate weekend that’s why she’s MIA??

8. I hear he’s mature and has met the kids and his daughter has bonded with Tiffa straight up??‍♂️.

9. If all goes well you will meet him by end of the year???.

10. He’s crazy about her and can’t wait for the world to know.

It took me more than an hour to get that information and my pastor don’t lie. He’s sees what I see? –

Regrann from @hollietheblogger – My eyes look weary and tired because they have been all loved and looked into all nite? They have been up all night because they were amazed and wide open looking at this incredible love staring at me.

My lip are so juicy and tender? So juicy because they have been massaged all night. They have been passionately attended to.??.

My body is all fluffy and jolly like jolof rice because a son of a man has squeezed stress out of it and Tendered it with smooth touches and rolled it left, right and centre…What can I say I have moved on and my smilling eyes, my excited lips and my body SAY IT all.???

Zari the real Bosslady

Hackers and Zanzibar prophetess please stay away… kekeke I am a doctor I know how to increase and reduce pain. Na this be reduction from all the wahala and bullishit. .. bring on another Tiffa I will baby sit abeg she needs a partner in crime to help her disturb those boys??? – #regrann

***All the credit to Hollieth blogger***

“SWEAR THERE WILL NEVER BE A PHOTOCOPY”

Regrann from @hollietheblogger  -  I SWEAR THERE WILL NEVER BE A PHOTOCOPY? THERE WILL NEVER BE ANOTHER OR A BETTER FEMALE WARRIOR THAN @zarithebosslady ?? IF THERE WAS A WAY I COULD PAINT OFF THAT VOMIT ? FROM HER LIFE I WOULD ‼️‼️ I hope there is a 12month ban in place so we can just focus on her growth and her life without any silly or stupid distractions. God I am on my knees please mysteriously delete any Tiffa and Nillan’s videos or pictures from LU-rope’s camera ? Abeg ??‍♂️‼️‼️ #temporarypost?  - #regrann

Read Jacqueline Mengi interview!

Regrann from @j_n_mengi – Have you read my interview yet? Link on my bio…So On this interview one of the questions they asked was my advice to upcoming entrepreneurs and my response was….. 

I’d say the best business is the one you are very passionate about. We spend many hours of our lives working, being an entrepreneur allows one to choose the type of business one wants to engage in I think it’s important to choose a business that you love because it will be a pleasure to do it rather than it being just a source of income. – #regrann

Hollietheblogger: RESILIENCE‼️

Regrann from @hollietheblogger  -  We have all gossiped too much this week, so let’s talk about something different ?‍♀️ RESILIENCE‼️ Resilience is the capacity to recover quickly from difficulties. Is sort of the ability to spring back from any challenge and difficulties and soldier on like nothing happened‼️Like for me, given the dynamic nature of events in a healthcare sector, resilience is a must have characteristic. One minute you are fighting to resuscitate a patient, the other you are signing an end of life form and the next examining a new patient with all smiles like nothing has happened. Over a period of time, You tend to block these events and just put yourself in a moment every time everyday. Resilience can be emotionally draining so it requires tremendous emotional stamina. Most people give up easily because they have traded resilience with fear. They choose the easy way out and opt for easier choices instead of immersing themselves in this complex journey and wait to enjoy their complete un-breakable success. For example you want to loose weight and get in shape but you do not want to exercise or give up your old lifestyle. So you will try exercising for a week and get drained or bored and decide to resort to other short cuts to achieve your objective. The truth is that you might just get thinner but not fitter which is your main health benefit goal. So overall you fail to achieve the COMPLETE OUTCOME. For you to enjoy your FULL benefits of success you must be willing to sacrifice and invest your everything in any project or goal you choose. You must be resilient in all circumstances no matter the weather so that when you build that house you have a solid foundation or business without any loopholes. See your Boss Lady is so resilient that when you think she’s broken she springs back tougher and stronger✌? So ladies watch and learn ?#issabossladiesmovement #brandzari????  - #regrann

“This lady has taught me, resilience, faith and self worth”

#RepostSave @hollietheblogger with @repostsaveapp There are four pictures that define @zarithebosslady for me! All these pictures paint her journey both physically and emotionally.  @1. When she had lost Ivan and her mum and was sitting by Ivan’s graveside and was quietly dealing with Hamisa’s child scandal because the instagram was on fire ? @2. When Hamisa decided to stalk her in Kampala during her annual white party☹️. @3' After dumping Baba tee. I had never prayed for anyone the way I prayed for this lady honestly. I was that ? and angry but helpless.  @4. MY BEST PICTURE her transformation!! She took control and had swam to the other side of the river. Duh! ??? ?. ??

This lady has taught me, resilience, faith and self worth. In three words what has this lady taught you?

Wanaopenda kushangaa ndio wajanja!

Baadhi ya watu haswa sisi Watanzania huwa tunatabia yakutokupenda kuwa wadadisi wa jambo au mambo matokeo yake our ignorance is very High! 
Yani tupo radhi tuamini katika uongo au majungu / umbea kuliko kuchukua muda wako na kukisoma / chunguza kitu wewe mwenyewe ili uwe na huwakika wa kile unachokiongea. Utakuta mtu anahadithia kitu wewe utaamini ni kweli ameiona mwenyewe kwa macho yake au amesikia yeye mwenyewe kwa masikio yake kumbe naye kasimuliwa na rafiki yake ambaye nae huyo rafiki kasimuliwa na mtu mwingine ?‍♂️?‍♂️
Hiii no karai ya Chicago
Hii tabia kutopenda kuchukua muda wetu na kujifunza jambo fulani au kufatilia habari fulani bila ya wewe kuweka uongo wowote ndio imefanya Watanzania wengi wanapenda majungu sana, wanaamini ili uweze fanikiwa basi lazima umuharibie mwingine haswa kama yupo kwenye biashara au jambo ambalo na wewe unafanya! Inasikitisha sana kwani kwa hii tabia maendeleo ya taifa letu yatahitaji dictator!!  Juzi niliamua kwenda kuangalia hili 'karai' kubwa ambalo limeletwa hapa Houston, Texas kwenye chuo cha sanaa. Hili karai limetengenezwa Ulaya likaletwa hapa. Ni urembo wa aina unao vutia sana.  Katika mji wa Chicago nao wanao 'karai' kama hili limetengenezwa na mtu mmoja. Ila la Chikago limeinamishwa (kama inavyo onekana kwenye picha ya pili kutoka juu) hivyo watu wanaweza ingia katikati ya hili 'karai' nakupiga picha nzuri sana kama anavyoonekana mwanangu hapo pichani ☝ na pia tizama picha ya mama yangu na mdogo wangu hapo chini ?
Hizo picha zilipigwa miaka 6 iliyopita kwenye hilo karai la Chicago. Kwa maoni yangu binafsi mimi napenda ya Chicago zaidi kwani imewekwa vizuri kwa watu kupiga picha na kitendo cha kulazwa chini imefanya hiyo sehemu iliyoingia ndani kuwa sehemu ya kivutionzaidi cha kupigia picha. Halafu maua na urembo ulioko pembezoni unahakisiwa na hiyo karai ambayo pia nikivutio.
Nilichotaka kuwaambia Watanzania wenzangu ni kuwa usiogope kushangaa! Hakuna njia nzuri ya kujifunza kitu kama kushangaa. Tena ukimpata mtu anayekupa maelezo basi wewe zidisha kushangaa ili akupe maelezo zaidi. Wanaopenda kushangaa ndio wajanja!

Zari don’t be fooled, stay awake!

Okay! I believe we all had a chance to listen to Diamonds ft Ravvyn new song #Iyena kwangu mimi naona wimbo upo kawaida japo video ni nzuri na nafikiri uwepo wa Zari mule umeongezea mvuto kwa kiasi kikubwa! Kama hujaona tazama ?

Lakini sijali sana kuhu wimbo, ujumbe wangu ni kwa Zari kwani nineona mashabiki "maandazi" wanavyo ongea eti "warudiane" na Diamond ?? I am like for real!! Who in a right mind will dare to say that?! Seriously people?  let us be real here for a second!! Hivi ni huyu huyu Diamond aliye m-cheat Zari na kuzaa nje baadaye akaomba msamaha Zari akamsamehe kwa moyo mkunjuvu na akasema "I made peace with his mistakes"!! Baada ya hapo nini kilitokea?!! Sindio akarudi kutoka South nakupokelewa na Wema Sepetu ukumbini na familia yake yote ikiwepo na Wema?! Na hapo ni baada ya mama Diamond kukaa South Africa kwa Zari zaidi ya mwezi pamoja na mumewe halafu kafika Bongo ndio huyo yupo busy na Wema? (With all due respect to Wema, mimi sinaga mambo ya timu bali nataka nifikishe ujumbe wangu vizuri ndio maana namtaja) Na bado picha na video akiwa na wanawake wengine zilirushwa kwenye mitandao na kila mtu anaona! Nyie watu acheni mzaha!! 
To you Zari, I'm not sure if you consider yourself "a celebrity" or a business lady who happened to be a "celebrity"! Celebrity is a culture, if you want to live a  celebrities culture then forget about your integrity, take Diamond back and prepare to lose respect from many people! What I am trying to say here you're way better off without Diamond! You stand as a very strong and powerful woman right now than those days you used to  zoom around  with Diamond everywhere like a homeless lady!!

You have added your value by showing people who you real are, how strong you can be, please don't trap kwa mama Diamond childish games! Adults, young girls and boys are looking up to you so do your children please don't let them down eti kisa nyimbo! Think about your daughter, you are laying a foundation of how boys and men should treat her be wise like snake! Build good foundation that every man will think twice before holding your daughter's hand! Teach young boys that women are not tools but rather are fellow human beings treat them with respect and dignity, not using them as "money making" machines!! Please, find a healthy  co-parenting way with Diamond and his family but don't take them back as family. That family is perfect but not for you, is perfect for those other women (if you know what I mean)! Achana nayo kabisa they don't deserve you even for a second. You were raised by a strong woman, whom she raised all those strong children alone why letting her down!! Usiseme eti watoto hata yatima pia ni watoto lakini wanakua!! That family isn't a healthy family to raise children with labda uwe unavuta bangi! Money is good but Not all money is great!! Choose your paycheck wisely! 

After all, you look more matured, focused, and well kept right now than ulipokuwa na Diamond. He stressed you out, took the strength out of you, misused your love, you didn't have peace at all.  Try to look at your old pictures you will agree with me!! They degraded you to accommodate and keep up with their uncivilized characters!! Trying to make money by destroying every woman that Diamond is involving with, I hope you are awake enough to smell the nasty coffee!!
Plus this babydaddy of yours care less about your life, he doesn't care if he would leave your children motherless perhaps even no parents at all that why he can't use any kind of protection-HIV is real woman! And what about Hippies, and Hepatitis C for God's sake!! Look how he was fooling around  with those ladies, let them recorded him with no fear or shame then shared them in social media?!! Guess what, that is the PROOF THAT HE DOESN'T LOVE YOU!! He is just using you! Selfish to the core!! If someone loves you will care about you, will always think about you before taking any action!! No one is perfect but some people are evil!! This is nothing but pure evil!!

You can do business with him but make sure every thing is clearly written and well documented. Make sure he is not a beneficiary of any of your money even if you happen to die today! Let ALL your children be the first beneficiaries, and your sisters legal guardian. You're better than this  Zari don't let this family destroy the woman you are!! ..... In the end, it's your life we are just cheerleaders!!


“The Art Of Self -confidence”

Regrann from @lemutuz_superbrand - LIVE STRAIGHT TALK: The Art Of Self -confidence I mean huwa ninashindwa kuamini ninampigia simu Mbebezz anapokea Mwanaume na kujifanya kujitunisha please stop that guys unakuwa mjinga na utaishia kujiua cause Mwanaume unatafuta nini kwenye simu ya Mbebezz wala sio mke wako na hata kama angekuwa Mwanaume huingii kwenye simu ya Mbebezz cause utayakuta unayoyatafuta yaani Ugonjwa wa moyo ..kila binadam anahitaji nafasi au space to be themeselves sometimes na hakuna binadam anayeweza kumchunga mwingjne na mpaka kufanikiwa HAYUPO nina maana Mwanaume huwezi kumchunga Mbebezz ukafanikiwa utakwama tu kila binadam anahitaji uhuru wa kufanya mambo yake bila kuchungwa na kwenye mapenzi tunatakiwa kuongozwa na TRUST!
Now what is TRUST kwenye mapenzi wewe hakikisha you dont Cheat ukiweza hilo ujue na Mbebezz wako hata ku cheat ila kama wewe Mamen una Cheat ujue 100% Mbebezz wako naye ata Cheat tu yaani wewe ule wabebezz wa wenzako ila wako asiliwe wewe nani hapa.Duniani na nani kakudanganya kuwa inawezekana? ...guys kuna Sheria ya maisha sijaitunga mimi kua ukiona una cheat mke wako hakukamati ujue na yeye ana Cheat cause giza ni kwa giza na mwanga ni kwa mwanga babe yaani haiwezekani wewe U cheat mke wako asi cheat no way UNAJIDANGANYA TU hahahaha ...halafu guys acha utoto mpenzi wako akiamua kuku cheat haina maana hakupendi ila ni mapungufu tu ya kibinadam wote huwa tunapitiwa na jifunze kuwa kama mimi Sheria yangu ya maisha ni mpaka NIMKUTE MBEBEZZ WANGU RED HANDED ANA CHEAT ndio nitaamini ila siwezi kusikiliza maneno ya watu au majungu majungu au kwa vile nimeona sms ni Ujuha wa hali ya juu sana kukosa Kujiamini ...sawa mapenzi mapenzi lakini jifunze kwamba unampenda binadam mpungufu kwama wewe ulivyo so mpe nafasi usimbane mpaka anakosa pumzi U know ...kumpenda mpenzi wako sio kumfuatilia kwenye simu hapana mpe mapenzi ya kweli ataona huzuni na aibu kukuibia na ukiona mbebezz anaruka ruka ujue kuna kitu anakosa kwako muulize kwa upole atakuambia tu kuliko kujifanya mbabe na unajua kuchunga cause huwezi ...guys Mwanamke ni kama kisima cha maji huwezi kujua kuna mtu kachota ndoo moja mpaka umuone kama hukumuona hutajua so relax and chill like me! - @lemutuz_superbrand - #regrann

“I always knew I wanted the good life, like I wont even lie about it”

Regrann from @zarithebosslady - WCW inspirational moment: I always knew I wanted the good life, like I wont even lie about it but then again dont we all? Well, at 30 I was already employing 258 employees and that alone on its own made me grow up mentally. The responsibility that comes with managing companies in a foreign country where you are always targeted as a foreigner least i forget the tight competition especially if your on top of your game wasnt easy...... so whatever you do, do it with passion. Fall down 99 times, get up the 100th. One day, and I say it again one day, the universe will respond. #Persistence #Consistence (See my life at 30, huge office with a personal boardroom?) me and Don started out in 2 offices, one PA, had just abit of ideas, got experts on board which we couldn't afford but they saw potential in us, did our logos which will forever remain a trademark and here is our recognized brand in the whole of SA www.brooklyncitycollege.co.za - #regrann Awiih! That's my gal! My true inspiration.  The real BossLady. Hakuiba kwa mume wa mtu akuuuu mtoto wa watu! Katafuta masiki mwenzake wakaanza kusaga visigido!! #I'mTheFoundationNotTheRoof ......I want good life too and hope to catch up with your achievement though I am in my 40s! Don't look down on me only God sits that high ? ??..... You go Zari! Keep winning! Keep shinning!

Zari Hassan: I am The FOUNDATION Not The Roof

    Regrann from @zarithebosslady  -  Pale unaposkia pesa za urithi... apo vipi. Success isnt sexually transmitted my dear. Endeleeni kudanga thinking some rich guy will knock you off your feet and success will happen over night. Even if he did you will be like part of the furniture he has a right to take out old ones and bring in new ones, as for me its not easy to get rid of me. IAM THE FOUNDATION not the roof...haha.  Anyway we are commemorating Ivans one year since his passing and i thought I'd motivate someone out there with these old images.
Dont downlook broke guys, God is for all, tables turn! Poor thing worked day and night to get me this car at 22 because he saw the woman in me. And yes, it didnt work out no matter how much i tried,  Started from the bottom, right! Rest his soul in peace!  - #regrann  

Ni maneno mazito sana kaandika Zari katika kukumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kifo  cha Ivan Ssemwanga ambaye alikuwa mume wake na walijaliwa kupata watoto watatu. Ujumbe huu mzuri sana kwa wale wanaofikiria na kutwa kumsakama Zari kuwa anafuataga pesa kwa wanaume aliokua nao. Haya ushahidi huo mmeuona sasa muache kumsakama mtoto wa watu na mumpe heshima yake anayostahili!!  Jibu safi sana kawapa  "I am the FOUNDATION not the Roof"?? Ten ? across the board!! Ngoja leo niseme; katika wanawake wote ninaowapenda kwenye Social media kwakweli I have to sincerely admit Zari is number one!! Nikiangalia alipotoka na mambo aliyopitia, na jinsi anavyo yakabili kwakweli she is MORE than 'Woman and half'!!  Hivi utawezaje kuvunja Msingi!! Kama ni nyumba inamaana lazima greda lipite nyumba yote idondoke ndio ufutilie mbali Msingi! Only fools do that!!!
Kama mnakumbuka huko nyuma niliwahi kuandika kuwa kuna wanawake wengine huwezi kupata "mbadala wake"  you can not  replace her no matter what  (soma ?  In loving memory of Ivan Ssemwanga: "I think I was prepared for death")  na Zari ni one of those very few women! Yani kama vile Oprah, hakutakaa kutokee Oprah mwingine duniani! Wengine watajaribu kuwa kama yeye lakini they will never be her! Sio kwasababu ni wazuri wasura na maumbile, hapana! Is the Brain, the courage, behind that beauty is a whole game changer ma'am!! Unfortunately I have to say this, with all due respect to Ivan Ssemwanga, but he was part of Zari's journey and not the destiny!! The best of Zari is yet to come!! So do Diamond, yale yalikuwa ni mapito tuu lakini safari ya Zari inaendele na ni nzuri zaidi kuliko alivyokuwa na Diamond!! Just keep watching her. Yani naamini hata Diamond huko aliko anajuta sana kimoyo moyo kwani anajua kuwa hata hafanyeje haitokaa apate mwanamke kama Zari. Atapata hao wauza sura wakupenda drama na ujinga wa social media but not another Zari! He was just soooooo lucky to have Zari on his hands! Na bahati haiji mara mbili! Kwanza Zari sasa hivi ndio mambo  ??? Keep on shining Zari!  ? ❤ #IamTheFoundationNotTheRoof

Madam Rita Paulsen: I can proudly say I know how she feels

Regrann from @mspaulsen - The smiles when a you are a single mother and get to wittness your daughter,s wedding...... I can proudly say I know how she feels. It's the best achievement and a blessing . The feeling is unexplainable. I wish this to all single mothers out there we rock ???thanks God and our daughters for making us proud - #regrann Maneno ya kugusa moyo haya kutoka kwa Madam Rita Paulsen. Je, wewe umeahawahi kukutwa na hali kama iliyomkuta Madam Rita? Yani ukaona mtu anapitia jambo au anakutwa na kitu fulani (jema au baya) halafu zile hisia zake ukahisi ni wewe kwasababu huwenda nawe unapitia kitu hichohicho au ulishawahi kupitia huko nyuma? Kwanini nime share nanyi hii " status" ya Madam Rita, nikuwa maisha ni fumbo, ukimwona kichaa yupo uchi usimcheke kwani hujui yakesho! Watu pekee ambao wanaweza kuelewa kwanini yule kichaa yupo uchi na nijinsi gani anajisikia niwale ambao walishawahi kuweuka! Nawale  ambao wanajua thamani ya kuwa na akili timamu niwale wale uliowahi kuwa vichaa. Ndivyo ilivyo hapa, only those who are or have been single mothers before ndio wanaoelewa ujumbe wa Madam Rita na furaha ya mama Princess Megan.  ***Siku zote dharau maiti siyo binadamu mwenye pumzi ya uhai***

‘Life is just a moment’

“A man died…

When he realized it, he saw God coming closer with a suitcase in his hand.

Dialog between God and Dead Man: 

God: *Alright son, it’s time to go*

Man: So soon? I had a lot of plans…

God: *I am sorry but, it’s time to go*

Man: What do you have in that suitcase?

God: *Your belongings*

Man: My belongings? You mean my things… Clothes… money…

God; *Those things were never yours, they belong to the Earth*

Man: Is it my memories?

God: *No. They belong to Time*

Man: Is it my talent?

God: *No. They belong to Circumstance*

Man: Is it my friends and family?

God: *No son. They belong to the Path you travelled*

Man: Is it my wife and children?

God: *No. they belong to your Heart*

Man: Then it must be my body

God: *No No… It belongs to Dust*

Man: Then surely it must be my Soul!

God: *You are sadly mistaken son. Your Soul belongs to me.*

Man with tears in his eyes and full of fear took the suitcase from God’s hand and opened it…

Empty… With heartbroken and tears down his cheek he asks God…

Man: I never owned anything?

God: *That’s Right. You never owned anything*.

Man: Then? What was mine?

God: your *MOMENTS*.  Every moment you lived was *yours*.

Do Good in every moment

Think Good in every moment

Thank God for every moment

Life is just a Moment.

Live it…

Love it…

Enjoy it…… ”

#Mama

#AboutSabbathDay

#GodIsGood

ULAFI NA KUTOKUWA NA KIASI

ULAFI NA KUTOKUWA NA KIASI: Ulafi na kutokuwa na kiasi ndiyo msingi wa anguko kuu la upotovu wa maadili katika ulimwengu wetu. Shetani analifahamu hili na daima huwajaribu wanaume na wanawake waendeleze ladha ya kionjo kwa gharama ya afya nahai wenyewe. Kula, kunywa na kuvaa yamefanywa kuwa lengo la maisha kwa ulimwengu. Hali ya mambo imekuwa sawa naile iliyokuwa kabla ya gharika, na hali hii ya ubadhirifu ni moja ya ushahidi bayana Wa ukaribu Wa kufungwa kwa historian ya Dunia hii.

Tunajua kwamba Bwana anakuja mapema sana. Ulimwengu unaharakisha kuwa kama ulivyokuwa katika siku za Nuhu. Umejikita kwenye kuendekeza ubinafsi. Kula na kunywa hufanywa kupita kiasi. Watu wanakunywa Vileo vyenye sumu ambayo huwafanya kuwa wehu. Kitabu cha matukio ya siku za mwisho, UK, 21.

**Nimeitowa kwa rafiki yangu Facebook**

Yes! Zari goes to church!

Regrann from @zarithebosslady – All my days are for God, but Sunday I go all out…. #Church – #regrann

Hayo ni maneno yake Zari Hassan the Bosslady kupitia Instagram page yake. I am happy for you Zari keep that spirit God is everything! I hope one day you will warship on Sabbath with me here in Houston or you want me to come to South Africa? I can ??…. Bwt, you look Amazing! ? Be blessed mama Tee ?❤

Toni Braxton akubali pete ya Mr Birdman

Je, wewe unampenda mtu kwa muonekano wake, taiba, familia aliyotoka, akili zake, sura, pesa, jinsi anavyokuonyesha heshima n.k?  Mwanamuziki Brian a.k.a The Birdman  anasema "so what? What that gotta do with love?"  Hayo yalikuwa ni maneno yake baada ya Talk show host Wendy Williams kusema kuwa yeye alikuwa mtu wa kwanza kusema "hapana" aliposikia Toni Braxton ana mdeti The Birdman! Wendy amemueleza Mr Birdman kuwa muonekano wake na Toni ni tofauti sana hapo ndipo Mr "The Birdman" akasema vinahusiana nini na kupenda?! Yeye ni 'certified gangsta' ?? aliye kuzwa na street kwasababu mama yake alikufa akiwa na miaka miwili (2), baba naye japo hakuwa sana kwenye maisha yake naye alikufa, kaka, dada, bibi, babu wote wamekufa hivyo vitu hivyo vinemfanya asijue nini maana na thamani ya upendo lakini siyo kwamba hajui kupenda!  "I’m just a gangster, that don’t mean nothing. Certified too. What that gotta do with love?" Wendy alishikwa na kigugumizi baada ya jibu hilo! 

Hilo nalo ni somo kwa wengi wetu tunaopenda kusema "kampendea nini?" Wewe ukiona watu wanapendana kama huna jema lakusema nyamaza lakini ukitaka kujua kampendea nini utaumbuka kwani hayo ni ya Ngoswe muachie Ngoswe mwenye! Kila mtu ana kitu chake ambacho anatafuta katika kumpenda mtu sasa mambo ya kujifanya  mimi sijui "Engineer" ooh mimi "mfanya biashara" sijui msomi gosh!! What that gotta do with love?!! Kwani siku ukiwa huwezi kunyanyuka kitandani hizo degree zako zitakunyanyua kitandani? ?? Watu wanaangali potential ulizo nano! Unaweza ukawa mzuri na elimu nzuri lakini akili ya maisha hauna azidi ya kutaka kuwa "trophy wife" au "Mario" ulishwe na kuvishwa na mwanamke halafu bado utake uitwe mume ? anyway, Birdman amemvisha Toni pete yenye thamani ya $5,000,000

The Birdman siyo mwanaume pekee ambaye anatarajia kufunga ndoa na mtu ambaye watu wengi walidhani haiwezekani.  Prince Harry naye mwaka jana mwishoni alimvisha pete ya uchumba muigizaji wa kimarekani ajulikanaye kama Megan Markle. Kwa hapa Megan ni mkubwa kwa Prince Harry kwa miaka mitatu (3yrs) na pia huko nyuma alishawahi kuolewa na kuachika. Ndoa yake ya kwanza ilidumu kwa miaka miwili (2 yrs) baada ya kudate kwa kwa muda wa miaka 6 ?? Hivi ndivyo vitu ambavyo sivielewi watu wadate kwa miaka sita halafu ndoa idumu kwa miaka 2 tu!! Tena hapo mpaka divorce imetoka ina maana atakuwa walitengana at least miezi 6 kabla ?‍♂️?‍♂️ Haya huyu Prince Harry ame mvika pete baada ya kumdate kwa muda wa miezi 15 (sawa na mwaka mmoja na miezi 3). Je, nitakuwa sahihi kusema ngoja tuone hii itadumu kwa muda gani au tuwatakie kheri tu ?

Btw, hata Toni Braxton hii itakuwa ndoa yake ya pili! Ndoa yake ya kwanza ilikuwa na mwanaume mwenye asili ya ngozi "nyeupe" ilidumu kwa muda wa zaidi ya miaka kumi na mbili (12  yrs) na alizaa watoto 2, Toni ana miaka 50 sasa.....Haya wale tunao pendeza hii show ya Braxton Family Values ndio tutakao faidi uhondo wote ? Siamini siku hizi nimemuambukiza mama yangu kupenda hizi show ?? anajua mpaka ratiba zake ??

Timu vibonge amkeni twende!

Regrann from @open_kitchen2014 - If you dont know my journey its better to be quiet from size 22/24 to size 14/16 53kgs nimezitoa all kwa juhudi zangu nikiwa nimezungukwa na chakula kitamu na vitu vitamu lakini nimejenga discipline ya ajabu .

.kila kitu kinawezekana Amka twende - #regrann

Jamani timu "vibonge" amkeni twende sambamba na mama wa Mahanjumati, Open_kitchen kakata manyama uzembe hiyo ni picha ya zamani ukitaka kuona picha zake zasasa hivi na jinsi anavyofanya mazoezi tembelea Instagram page yake. Hongera sana mpendwa ...... Jamani mimi tumbo limegoma ,??? napambana nalo najua one day litatoka tu! Amkeni jamani vibonge wenzangu tupambane na hali zetu ??????

Be the person you want to attract!

 Regrann from @cheyennebbostock – Be the person you want to attract. If you want a rich man, start by being a rich woman. ?? Despise the free lunch! Quality men of substance are attracted to independence and self-sufficiency. Get there! ?? – #regrann  

Stop allowing people to take up space in your life that they haven’t earned and don’t deserve!

Regrann from @cheyennebbostock – Stop allowing people to take up space in your life that they haven’t earned and don’t deserve. You are worth more! #CheyenneBostock – #regrann  

Zamaradi Mketema: Ni Makosa yetu wanawake

Miriam Kinunda author of  Taste Of Tanzania: Modern Recipe for the West https://www.instagram.com/miriamkinunda/

Regrann from @zamaradimketema -Kwenye comments nimegundua wanawake wanalalamika na mzigo wanaoubeba wao kwenye majukumu ya familia, ila MAKOSA mara nyingi yanaanzia kwetu, wanawake wengi WANAWALEMAZA sana wanaume wao wenyewe kwa kuhisi wanawasaidia, kwa bahati mbaya hii haina faida kubwa mbele ila hasara.

Tukirudi kwenye nature mwanamke ameumbwa kutunzwa hata vitabu vyote vya Dini vinasema hivyo, na ndiomana ikiwa tofauti madhara tunayaona, mwache mwanaume awe mwanaume hata kama umemzidi kipato, nature ya mwanaume ni KUTOA na kujihisi ANAMILIKI na ndio uanaume wake unapokuja, anapokutunza anafeel uanaume wake, hata uwezo wa kunguruma anaupata ndani, mpe hiyo nafasi usimnyime, hata kama wewe una mia yeye ana kumi hakikisha katika kumi yake lazima utaratibu wake wa kulisha nyumba ubaki palepale kwa kidogo chake hikohiko, we utatumia tu akili jinsi ya KUMSAIDIA ila usimlemaze akaona wewe ndio kilakitu na kumpa nafasi ya kutulia, hakikisha kila anapotoka anaacha kinachostahili hata kama ni mia tano, mfanye awe mume, maana athari za wewe kuibeba familia mara nyingine zinaenda pabaya zaidi hadi kuharibu mahusiano.

Na ndiomana kuna fikra isiyo rasmi kuwa wanaume wengi wanaoishi na wanawake wenye uwezo zaidi yao hutafuta nyumba ndogo pembeni za hali ya chini na kuzihudumia kwa hikohiko kidogo, lengo ni kutaka kuutoa uanaume wake, anataka mamlaka yake yaonekane, anataka akiongea asikilizwe, mpe nafasi hata kama una uwezo, hiyo ndiomaana ya kuwa KICHWA mfanye awe kichwa kwa vitendo, hata kwa umasikini wake onesha unamtegemea yeye na umtie moyo afanye kadiri ya uwezo wake, sio ndio unazo basi yeye anakuwa kama mtoto mdogo sasa ndani unamuacha moja kwa moja hapana, au unajifanya huhitaji kitu kwake unakosea. Ukitaka kujua hii ni nature hata kwa upande wa wanawake ndiomana hakuna feeling nzuri kama kupewa/kutunzwa na mwanaume wako hata kama una kilakitu, sababu nature iko hivyo!! Ndiomana si ajabu kukuta mwanamke tajiri lakini akamtamania mwenzie wa hali ya chini kwa kununuliwa mkufu tu, pamoja na kupata kilakitu kwa jasho lake bado kuna kitu kinamiss, kuona mtu anasimama kwake kama MLINZI na mtunzaji wa maisha yake, MUNGU ndio kaumba hivyo!! Ila siku hizi eti wanaume ndio wanalindwa. Ni Kosa!! Regrann from Zamaradi Mketema