Category Archives: Relationship

je, upo tayari?! Couple yangu ya kwanza -2015

Nilipo anza ku-blog ilikuwa ni mwezi wa Pili mwaka 2015. Na hii ndio ilikuwa couple yangu ya kwanza kabisa kuichagua kama Hottest and Best Couple of the yr kwa mwaka huo! Nikitu niliamua kufanya kila tarehe 14/2 ya mwaka (siku ya Valentine day) nitatangaza couple moja iliyonivutia ambayo pia naona kuwa ni mfano mzuri wa kuigwa katika jamii! Kama ulipitwa na tangazo hilo tazama hapa ? HottestAndBestCouple-2015

Je, upo tayari kwa mwaka huu?? Stay tuned!!

Couple we like!

Couple yangu. Best and Hottest couple ya  2016 ; sijutii kuichagua kwani sikufanya makosa! Wanastahili!

The Makondas’! Beautiful couple with amazing souls!

Da Tuma na barafu ya moyo wake! Wamependeza! 

The best pic of the week: Baba na Mama Wawili!

screenshot_2016-12-14-22-50-26-1Awiiiiii! We Jakilini Jakilini wee ee! ngoja niimbe kidogo ???? Wana meremeta wana waka-waka aa! ??  huo naona haunogi ngoja niimbe huu ? ndo  wenyewe wa ukweli ????

Wenye wivu wajinyonge tu kwakweli maana hamna namna ?? Na idumu milele hiyo asali ya moyo wako ???

Couples we love!

screenshot_2016-12-13-07-56-28-1fb_img_1481637239288fb_img_1481636977016My wifiiii! can’t wait kuserebuka ???

Kheri na furaha ya kutimiza miaka 7 ya ndoa baba na mama Gabby!

screenshot_2016-12-12-09-15-30-1Kheri na furaha ya kutimiza miaka saba (7th) ya ndoa yenu takatifu! Nawaombea upendo, amani, furaha, na mafanikio makubwa sana katika maisha yenu! Mungu akapate kuwa kiongozi na tegemezi lenu siku zote! Mbarikiwe sana!……….Yani leo ndio nimemuona baba Gabby na nimejua kwanini Emelda anamficha sijui niseme ?? such a good looking man na Dar wanga wengi ???……..Halafu wee Muhaya umeona wenzetu miaka SABA bado wako Honeymoon?! Sasa sisi hata mwaka haujaisha makelele mengi mpaka Clouds FM umefika ???  vibaya hivyo jamani ???

Happy 7th Wedding Anniversary Emelda ❤❤

Hongera sana Gideon na Rebecca!

img-20161211-wa0003Hongera sanaaaaaa Gideon na wifi yangu Rebecca. Nawaombea kheri na baraka nyingi sana katika ndoa yenu. Mkapate kubarikiwa mzae matunda mazuri na matamu sana. Congratulations!
img-20161211-wa0002Bwana harusi Mr Gideon ni mfanyakazi wa HoleyPharm Ltd katika department ya Marketing, Advertising, and Sales kwa muda wa miaka kumi (10) sasa. Na siku ya leo masaa ya East Africa-Tanzania alikula kiapo kitakatifu cha ndoa katika kanisa takatifu la Magomeni Seventh Day Adventist pale Mwembe Chai!
img-20161211-wa0001 Maharusi pamoja na wasimamizi wao wakipata picha ya pamoja kabla ya kuelekea Kunduchi beach ambapo sherehe ya harusi hiyo ilifanyika!img-20161211-wa0004Mama Igogo, Deputy Director of HoleyPharm  akiwa teyari kwenda kuserebuka kwa furaha kabisa kwenye harusi ya mfanyakazi wake! img-20161211-wa0002-1Kwa mara nyingine tena, hongera sana kaka Gideon na wifi karibu sana ndani ya familia ya HoleyPharm. Mbarikiwe sana ❤❤

Love in the air! Is this our new shemeji?

screenshot_2016-11-25-10-16-29-1 rumor has hit in the streets of social media that the man in the picture is our new shemeji?!
screenshot_2016-11-25-10-14-43-1 If this is true not kutafuta #kik za mujini basi mimi ninafuraha sana moyoni ??  Nasikia kitu ni #InternationalMachineGun ???? yani hana rafiki mujini wala Kiswahili hajui ?? Jide amejuaje kuwakomesha wambea ?? salute to you Jide ?? screenshot_2016-11-25-10-16-55-1Wacha wee ??screenshot_2016-11-25-10-14-30-1he! he! he! kama namuona mtu mzima Ruge na loser wake macho yamewatoka waki kodoa kodo ?? #Salome You go Jide enjoy your chocolate candy bar #JotoHasira #WanaumeKamaMabinti

Picha nilizo zipenda siku ya leo

fb_img_1478388938281 Mwajuma na King Mswat wake ? wamependeza sana fb_img_1478388520042 Mtumishi wa Mungu, Masanja Mkandamizaji na Monica wake ……. kinyumbani zaidi! Ila hizo “Dodo” zinavutia sana, kitu organic no antibiotics fb_img_1478387886232Babybrother Mzee William and my wifi ……wishing them the best

Hivi jamani mmeshawahi kumsikia Pastor Mbaga? Kuna video fulani nimeshindwa kuipata YouTube ambayo aliuliza wana ndoa;  kama Mungu Yehova akashuka leo na kusema ndoa zote zilizo fungwa kuanzia leo nimezivunja akawapa watu nafasi ya kuchagua mwenza mpya. Je wewe utarudia kumchagua mke/ mume uliye naye sasa??? ????……..haya sikiliza hiyo hapo juu anaongelea lugha tofauti kati ya mwanamke na mwanaume.

“The art of letting things and people go” -Lemutuz

screenshot_2016-11-06-11-24-57-1 screenshot_2016-11-06-18-12-22-1-1screenshot_2016-11-06-11-24-47-1-1-1

**REASONS WHY CHRISTIAN SINGLE LADIES can’t FIND THEIR BOAZ, DAVID or JOSEPH**

9 REASONS WHY CHRISTIAN SINGLE LADIES can’t FIND THEIR BOAZ, DAVID or JOSEPH** FB_IMG_1463569318594This article is very long but worthy the read and mainly for mature Christian single women because Girls might get offended or not understand but a mature Christian woman will probably get it and take the knowledge. The tone may be a bit direct not because I am brash but because I am writing to Women not girls. All your single girlfriends AND male friends should read this. FB_IMG_1463431832624So here we go. Why can’t our wonderful Christian sisters find their Boaz, David or Joseph?

1. Many Christian ladies want a man that “knows where he is going”… but God’s men usually don’t have a clue: Think about that for a moment. Think through the Bible…all the great men that had relationships with God and who he used and blessed….they usually didn’t have a clue about where they were going and (here is the even crazier part) even if they had a clue, their lives for a long time did not reflect that great place God said he was taking them. Just think about it. All the way from Abraham …going to a land he did not know; Joseph having a dream that people would bow down to him but became a slave and then a prisoner; David who was anointed to be King and then lived the next 15 years in the wilderness as a fugitive; Peter the great fisher of men who was barely able to catch fish. These men would have had a rough time finding a wife today. Could you imagine?

Abraham calling sister Sarah aside after church and saying “Errrmmm Sarah you know I love you right? Soooo God wants to take us somewhere …but I have no idea where. Wanna marry me and come?”

David too. “Look baby…I really care about you and want to spend the rest of my life taking care of you… In fact, I’ve just been anointed King…buuutttt I’m kinda living in the bushes right now and on the run from the King I’m supposed to replace.”

Or Joseph. “Look Jill, God has shown me many dreams that people will bow down to me and I’ll be a great leader. But right now I wash dishes in Potiphar’s house and I’m a slave boy there”

God’s men don’t “always” have a direction or know the details. So stop looking for men who have it all figured out!

Here is the solution though…..here is the good news. Here is what you SHOULD be looking for: fb_img_14763281305551. Men who can be LED by God. (Rom 8:14) Don’t look for a man who already has the best laid plans. Look for one who knows how to follow directions from the best planner. The Boaz, David or Joseph kind of man may not know exactly where he is going but he knows how to follow God.

2. Many ladies approach relationships from the perspective of “Low Risk, High Reward”: Meaning, they want to get the absolute best man with the least amount of risk. (And I’m not just talking about finances here)They don’t want to put themselves out there at all.

They want the man to take ALL the risks…to be utterly convinced he wants to be with them before they open up about who they really are. You know who you are…You act like YOU are the ONLY prize in the equation. He doesn’t know anything about your background but you turned into a private investigator to make sure he is good enough for you. You are financially irresponsible and an impulsive spender, you’re spending insane percentages of your income on your hair, shoes, bags, and your “package” but you want a man who knows how to make and keep money. You have not grown your faith or prayer life to where it needs to be but you want a demon chasing, tongue speaking, Bible spitting warrior of a husband…because “he is the leader of the home”.

You’ve dated a bunch of losers that didn’t work out but he is no good because he has had several failed relationships too? You want to see him as he is but you cover yourself up in perfectly filtered Instagram pictures, hair extensions, push up bras, makeup and layers of stuff that make it impossible to see who you really are. You are lazy with not much follow-through but you want a man who can stay up all night working on a project. If he put that spotlight on you, would YOU make the cut?

In essence, many Christian ladies say they have faith but they don’t. They say that God is their source but they are lying. They say that they trust God’s will for their future but they are lying. They don’t. They put their trust in a man. What kind of job he has/can get. How much he is making or can make. They want to make sure he has the “ability to provide”. They want him to have his life utterly figured out…

But I have met many great men who haven’t found the employment they have the potential to get. I have met many others who were living it up until the economy crashed. I have met some who had it all but God insisted they give it up to go and further the gospel. If you want a Boaz, David or Joseph, you’re going to have to be ok not having everything perfectly figured out

3. Many ladies forget that good Christian men look for women who share similar non-romantic, non-spiritual values: Sure he should be romantic and sure he must share those spiritual values but eerrmmm ladies…these Christian brothers are looking for those other character traits as well that speak to the OPERATION of your possible lives together. Dependability, thriftiness, work ethic, time management, hard work, follow-through and so on.

One of the first things we learn about Ruth for example, was her work ethic. ( Ruth chapter 2). She knew how to pull her hair back, forget about her nails, roll up her sleeves and get on the grind. She worked really hard and even when she got the attention of the “well established guy with the sensitive heart” she didn’t stop working. She took the break that he offered her and went back to work. That’s how you earn a man’s respect…when you can show him that what he HAS does not define who you are.

Here is the icing on that cake. Just because Ruth could get down and work, didn’t mean she couldn’t look pretty and tidy up (Ruth 3:3) The Boaz, David or Joseph kind of man knows it takes a lot more than butterflies and date nights to fulfill God’s mandate for his family.

4. Many ladies pre-qualify their leads: This is one of the most CRITICAL reasons. The Boaz, David or Joseph kind of man …spends a long time NOT looking like the Boaz, David or Joseph the world will eventually come to know.

5. Good Christian men know their worth too and don’t want to settle either: Yea ladies…men are understanding their worth a bit more too. Christian men are getting more and more comfortable attending relationship seminars and getting information about seeking God’s face for a wife. They are realizing how powerful of an impact a wife has on the outcome of their lives and ministry, and they are spending more time trying to see what is beneath the surface. They know that a woman can make or break everything. They realize that a woman’s desires can accelerate him towards purpose or derail him.

They are praying more and they are realizing that while you still remain a prize, they too are precious in God’s eyes and want to do right by Him. They are realizing that a wife can make or break a man. Yes they are praying for a Ruth but they are also praying against Delilah as well. The Boaz, David or Joseph kind of man knows his worth too. fb_img_1477003515125

6. Many Christian ladies have no testimony with men: A few years ago, an older friend (a number of years older than me) came up to me after a church program and asked me about a lady in my church. Who she was and what she was like as a person. I didn’t stop talking for minutes. They were married about a year later.

Same thing happened to Ruth. (Ruth Chapter 2 from Vs 3) Boaz came back from a trip, saw Ruth and asked his Foreman “Who is that and who does she belong to”, to which the foreman answered and gave a fantastic testimony of her character. (See Boaz’s response in Vs 11)

Here is a secret ladies, you know how you like a guy and try to keep it to yourself until your girlfriends force a confession out of you? We guys don’t do that. The moment we think we are interested in you, we are telling someone and we are asking around about you….and we are asking our MALE friends/mentors. Because we know they will tell us like it is and of course won’t spread it all around church and make things suddenly awkward or cause all the sisters to start giving the dirty eye next Sunday. Bro code.

The truth is that even Christian ladies can be toxic sometimes when it comes to how they treat men who they don’t consider a prospect. You forget that when the real prospect comes and is interested in you, he will ask other men…some who may never have approached you but who have watched you from afar, and yes some who may have had an interest in you but you didn’t like. How did you handle those situations? (You totally need to read that article link above…especially the 2nd part of that series)

The Boaz, David or Joseph kind of man looks deeper than the surface beauty. They look for testimonies of the woman’s character

7. Many Christian women want a Proverbs 31 Man: That’s not a typo. Pick up your Bible and read Proverbs 31 again with fresh eyes… from the perspective of the character of that woman…and you will see that those qualities are the ones that many women are looking for in a man when they should be busy developing those qualities themselves.

Single Christian men are reading that passage looking for those qualities in a woman, and women are putting that passage down and instead looking for those qualities in a man. The Boaz, David or Joseph Kind of man has read Proverbs 31 and wants her.

8. Many Christian ladies want to be married but they are not truly ready to be led: They want to marry a boyfriend but not a husband. They want only a partner but not a leader. They want an emotional prenup that things will always be 50:50. They say they will concede authority to God Himself but in their heart, they are not willing to be led by his representative in the home. What I am about to say next I say with the utmost respect to women.

Men were created to lead at home. Now, with that leadership comes accountability to God meaning that God holds him accountable and will punish him first for bad leadership. But a man cannot be accountable for a woman he can’t lead…. and a Christian man does not want to be over anything he can’t be accountable to God about. The Boaz, David or Joseph kind of man is a great servant leader like Jesus Christ…but he is a born leader and he knows it

9. Many young married Christian women are painting a fairytale picture of marriage to their single ladies! Many young married women are doing a major disservice to single women. These young married women create a fairytale picture of weddings and marriage to their single friends. They love being the center of attention and talk up how dreamy it is. Perfect Instagram photos, perfect wedding photos, expensive glamorous weddings, perfect Facebook updates, photos and so on. Is there anything wrong with that? No. It would just help a lot more when married young women keep it real with their sisters and tell them that the wedding day does not make the marriage. It would help a whole lot more if they sit their single friends down and talk about the importance of a praying wife, a strong wife, a submissive wife (to a Godly man) and how contrary to popular opinion, the faith of a wife is both a weapon for the family and its defense as well. Instead, they get their single sisters all dreamy eyed and waiting for a perfect story and a perfect man…waiting for KalEl from planet Krypton with the big “S” on his chest and a red cape, when they should look at Clark Kent from Planet earth.

The Boaz, David or Joseph kind of man knows that the wedding is not the marriage and doesn’t want to create an impression he can’t maintain.

Sisters, God has a beautiful story of love written for you. Am I saying settle? No way. But I am saying look at these men through the eyes of Christ. Get your pride out of the way. Don’t define your marital success by how well your wedding day or “lifestyle” stacks up with other women. Most importantly, start seeing yourself as a true (not just perceived) gift from God that can bring God’s favor and blessings into your husband’s life because that’s what you are. So work to BECOME that and I truly truly wish you a love-filled, Christ centered happy marriage when it does happen

Credit: Get-inspired by

Tysha

***Tafadhali hizi picha hazina uhusiano wa moja kwa moja na story. Nimezipenda tu****

Hongera Tuma Kajo na Teddy!

img_20161102_113050Hongera sanaaaaaa Tuma kwa kuvisha pete ya uchumba mrembo Teddy. Mungu awatangulie katika mipango yenu yote na katika maisha yenu! fb_img_1478101922550Boy! you lucky, she is beautiful!God bless her

“….punguza kiburi, si ujanja kumnyanyasa mtu anayekupenda kwa dhati” Iddi Makengo Jr

Mwanamke anapokuomba msamaha baada ya wewe kumkosea usidhani ni mjinga, usijipe kiburi kwa kudhani labda hajui anacho kifanya, usivimbe kichwa na kujidanganya kua labda huyu hana pakwenda ndiyo maana ananinyenyekea. Usijisahu na kurudi kosa lile lile kisa unajua kuwa atakuomba tena msamaha na wala usijisifu kwa tambo kuwa wewe ni mjanja zaidi yake. fb_img_1477604978231Anakuomba msamaha kwasababu anfaahamu thamani ya ndoa yenu, anafahamu thamani ya mahusiano yenu, anajua gharama ya kutengana kwenu, anakumbuka yote aliyopitia mpaka kufikia hapo mlipo, anathamini yale mzauri kidogo ambayo ulishawahi kumfanyia na anajua kuwa katika mahusiano nilazima awepo mmoja wa kuyalinda. Usimsukume kusahau yote hayo.

Acha kumfanya kukata tamaa ya kulipigania penzi lenu, usimfanye kukata tamaa ya kusimama kwaajili ya ndoa yenu, usimfanye kukata tamaa ya kupata furaha tena kwa sababu mwanamke anapokata tamaa na ndoa jua hamna ndoa tena, hamna mahusiano tena, unacheka sasa kwakua bado anakuvumilia lakini siku akichoka kukuvumilia basi utalia lakini machozi hayatatoka, punguza kiburi, si ujanja kumnyanyasa mtu anayekupenda kwa dhati.

“Mwili mzuri bila akili ni sawa na gari zuri bila mafuta” – Lemutuz

screenshot_2016-10-25-22-21-00-1

Would you attend your ex’s parents funeral?

screenshot_2016-10-25-22-44-53-1???? Jamani huko Instagram ni kuna vihoja kha! Nimekutana na haya maswali kutoka kwa huyu kaka ambaye ni Muandishi wa vitabu kuhusu maswala ya Relationship. Maswali haya ukiyasoma kwa juu juu bila kutafakari utaishia kucheka tu! Lakini ni maswali ya msingi sana!………. Mie nasema inategemea katika maswali yote mawili! Ninaposema inategemea ni kutokana na sababu kuu mbili:- (1) kama kuna watoto wapo involve na hao watoto ni under age! Nakumbuka nilimpelekaga mwanangu kwenye msiba wa babu yake mzaa baba na shangazi yake kwasababu alikuwa bado yupo under 18 pia babu yake alikuwa ana nipenda sana so do the shangazi….. (2) mahusiano tuliyokuwa nayo huko nyuma yatachangia sana mimi kwenda. Sasa hapo kama hatuna watoto alafu tulizinguana basi nitasema ACHA WAFU WAZIKANE ??  Don’t get mad at me! Someone is “EX” for a reason ??…………. What about you? ……. Soma maoni ya wengine! screenshot_2016-10-25-22-45-20-1screenshot_2016-10-25-22-44-44-1

Wewe ni mwanaume / mume / baba wa aina gani?

fb_img_1475669607547fb_img_1475895366588Kama wewe ni baba au unategemea kuwa baba basi haya ni maneno ya kutafakari sana. Je mambo unayo yafanya kwa mwanamke uliye naye akitendewa binti yako utajisikiaje?! Kama haufurahii basi huna budi kubadilika! Na hii si tu kwa wale wenye watoto wa kike, hata kama una watoto wa kiume jiulize! Je, ungependa wafate nyayo zako au! Je, unawafundisha na kuwaandaa kuwa wanaume na baba wa aina gani! Badilika sasa!

Kiss cam catches Baraka and Michelle Obama

fb_img_1477318530875

?????????

Never heard! Paul Makonda, you are a man and a half!!!…… Happy 5th Wedding Anniversary Mr and Mrs Makonda

screenshot_2016-10-24-16-19-10-1screenshot_2016-10-24-16-17-34-1screenshot_2016-10-24-16-18-16-1screenshot_2016-10-24-16-18-48-1screenshot_2016-10-24-16-18-37-1fb_img_1472436063790Wow! What a great way to honor your wife!!! I have to admit sijawahi ona mwanaume wa Kitanzania kijana kama Paul Makonda aki shame and curse the devil out of his marriage by empowering and boosting his wife confidence out in the open like this!! SIJAWAHI ONA!! TRULY YOU ARE A MAN AND HALF!!  You spoke from the heart even the devil heard you! You poured your heart like a grown up man, a man with tremendous respect to women and fear of God! BRAVO!!………. Umeonyesha mfano mzuri sana kwa vijana wa leo! Ubarikiwe siku zote. Happy 5th Wedding Anniversary to Paul and Maria Makonda. Mungu awe nanyi milele zote ??

Throw that 50/50 stuff out of the window…!!

fb_img_1476361366009fb_img_1477318530875

“Sheria hii ikiletwa Bongo tutaheshimiana sana”~~~~ Lemutuz

screenshot_2016-10-19-10-57-42-1screenshot_2016-10-19-10-57-17-1

The “Masanja Mkandamizaji”! A.k.A Mr and Mrs Mgaya katika ubora wao!

screenshot_2016-10-10-07-33-25-1-1 Hivi mmesha waona hawa “njiwa wa mapenzi” jinsi wanavyo kula ma good time mpaka wanatia hasira #Jelous Is A Disease huh! ?? screenshot_2016-10-08-09-42-18-1fb_img_1472436063790Kwakweli wanapendeza sana. Hii ndiyo faida ya wapenzi kuwa marafiki wa dhati. Yani kuna couple zingine ukizitizama you end-up wondering how do they make babies ??? Yani ni mwendo wa kununa kwa kwenda mbele! Hata kama hauishi nao utajua tu something ain’t right! Jamani pendaneni kama Bwana alivyo wapenda nyinyi!……….Mungu azidi wabariki ❤❤❤❤