Cheka urefushe maisha!!

This is so true! Kuna maisha zaidi ya kuolewa enjoy life ladies! Kama wewe ni mama furahia uzazi wako fanya kumbukumbu nzuri na wanao hata siku ukiondoka hapa duniani wawe na kitu cha kuelezea jamii. Kama huna mtoto basi fuga hata mbwa / paka uwalee. Au tafuta kitu ambacho kina leta furaha na amani moyoni mwako ukifanye kwa nguvu zote. Tusiwe kama wakati wa Noah ambapo watu walikuwa busy na kula, kulewa, kuolewa na kuoa hata pale walipokuwa wakihubiriwa injili ya wakovu hawakusikia kabisa! Btw, hata Boaz alimkuta Ruth akiwa busy shambani akampenda na kumfanya malkia wake wa nguvu ??  Get a life!

Leave a Reply