Cheka urefushe maisha yako!

 "Karibu uraiani Sanjay ?? (Ni hali tu wote tutayapitia nitaingia mimi nitoke Sunil Sheti) #SioHabari"

??? Nacheka siyo kwamba mazuri but the "humor" is so for really! ?? Yani huyu Idriss is a true Comedian, mtu ambaye anaweza geuza kitu cha huzuni kuwa chakawaida mpaka kuchekesha, then in the end unabaki unajiuza kwa kina about life! Like kumbe Manji asingekuwa na pesa ndefu ni mkaka/baba wa kawaida sana, then unajipa moyo kumbe hata mimi si mbaya "pesa ndio kidogo na matumizi ni mengi" in Akothee Akothee's voice ??  huyo ni comedian mzuri sana!

Leave a Reply