Crush diets vs Healthy eating

@Regranned from @open_kitchen2014 – Naomba leo kutoa ka elimu kidogo hizo picha mbili zote ni za mwaka huu hiyo ya kushoto ilikuwa mwezi wa nne na hiyo ya kulia ni december ila utaona kuwa kuna tofauti kubwa sasa hapo ndio uelewe tofauti ya bad crush diets na healthy eating with lots of muscle buiding kipindi cha mwezi wa tatu mpaka wa nne nilijaribu kila mbinu ili nipungue kilo 10 za mwisho zilikuwa zinanitesa sana sasa nikaanza crush diets na mazoezi yaani kwanza nilipozitoa zile kilo 10 ndani ya mwezi mmoja mwezi unao fuata zilirudi zote na zaidi nikawa very upset ndio nikaanza kusoma na kujifunza kuhusu crush diets vs healthy eating na pia nikaamua kuaza weight lifting vs cardio maana with cardio nilikuwa nanyooka tu sitengenezi shape at all nilikuwa kama mti wa fenesi ?????? lakini sasa hivi kidogo Alhamdulillah hata kijingu cha kukorogea uji kinaonekana japo sio cha kusimamisha chupa ila maji yanatuama kidogo ??????? .
So naomba ujue kuwa crush diets are not healthy kabisa kwasababu kwanza sukari yangu ilikuwa inashuka sana because nilikuwa nakula kidogo nafanya mazoezi zaidi and that was very dangerous nakumbuka kuna siku nimetoka kukimbia 10k nikahisi kuzimia nakuja kupima sukari ipo 3 yaani i was so scared so ni muhimu kuelewa madhara ya crush diets na pia ngozi yangu ilikuwa mbaya sana yaani nilikuwa najitahidi sana ku moisturise lakini bado ilikuwa haina mvuto mda mwingi ilikuwa inabebwa na make up ???? na pia nilikuwa so weak mda mwingi nina fatigue sana so i stopped huo ujinga kabis a .
..
Sasa hivi navaaa size 14/16 mwili wangu upo shaped vizuri na ninaendelea kila siku kuutengeneza sitaki kupungua zaidi ya hapo nimeridhika kabisa mimi sina skinny body frame so mwili wangu hauwezi kuwa kama beyonce never ever ???? lazima uwe na target inayoendana na body frame usije ukawa kama a walking zombie maana kila nguo ukivaaa unaoneka kama imetundikwa , uso mpaka unakosa nuru mtu akikuangalia sura inakuwa kama inamzomea ????mambo gani sasa hayo ..
. . So sasa hivi yes mwili wangu unaoneka thicker na abit more masculine and i love it AMKA TWENDE HATA WEWE UNAWEZA –

Leave a Reply