Dina Marios: Kuna watu tutakutana nao kama baraka kwetu na wengine ni mafunzo kwetu.

Kuna watu tutakutana nao kama baraka kwetu na wengine ni mafunzo kwetu. Hata wale unaohisi ni wabaya kutokana na yale waliyokufanyia au wanayokufanyia sasa wapo hapo kwa sababu. Wapo kwa ajili ya kukupa funzo fulani…….wapo hapo kukufanya uwe imara na mkomavu.
Dina Marios

Leave a Reply