You don’t belong at the wedding!

screenshot_2016-11-29-23-29-45-1Binasfi nachukulia harusi ni swala personal sana, yani ndugu zako pekee na  wale watu ambao kweli wamegusa maisha yako au wenye kukutakia mema siku zote ndio wanatakiwa kuja kwa harusi yako! Harusi ni kitu kina tokea mara moja katika maisha yako (if no divorce) hivyo lazima uifanye iwe na kumbukumbu za watu au marafiki ambao kweli wana umuhimu kwako……….Kama hujaalikwa kaa kwako utulie!fb_img_1479752684072Tafadhali hii picha haina huusiano wowote na story hii. She is my niece!

Leave a Reply