Dr. Magufuli baba unatumbua majipu mpaka kwenye misiba?!

fb_img_1472436063790Mmmh! “Amefunga ndoa na Janet Massaburi”, Okay! Yes!  “Na ameacha wajane”? Uncle Foo! Are you okay! Hao wajane ni wakina nani, kwanini hukuwataja watu wakawasikia?? Na idadi yao!! Mbona mnafanya mambo ya aibu namna hii!….. Hata nyie wenyewe dhamira zinawasuta! Nampenda sana aunt Janet Massaburi lakini ukweli ni kwamba Ashura Massaburi ndio mke mkubwa wa marehemu! Kila mtu analijua hilo hata marehemu anajua hivyo! Yes! Alifunga ndoa na aunt Janet but tell people the truth the Real story behind hiyo ndoa ya kanisani! Mmh! Hapana, msifanye hivyo siyo vizuri kabisa!

c5Rais akiwa na mkewe wakati akitoa pole kwa wake za marehemu. Hapo kwa upande wa kulia ni mke mkubwa wa marehemu Ashura Massaburi a.k.a NyarKigoma (maana yake ni binti wa Kigoma), na kushoto ni Janet Massaburi a.k.a NyarMajita (binti kutoka Majita) ambaye ni mke wa tatu!

fb_img_1472436063790Dr Magufuli baba umenichekeshaje?! Unatumbua “majipu” mpaka msibani ??? But huo ndio ukweli wenyewe!…………. Kwa kweli mimi sitaki ongea mengi kwa leo ngoja niwaache ndugu zangu waomboleze kwa amani! Lakini haya mambo ya kuoa wake wengi mmh! Nishida tupu! Mnatesa watoto na ndugu wa karibu bila sababu ya msingi! Mambo ya ukewenza yalikuwa zamani hizooo! siku hizi ni matatizo tu haswa pale unapokuta the so called “step mother” ana roho ya kichawi halafu unalazimishwa undugu naye ?? Ngoja ninyamaze mie ?? …………. Mimi naona kama watu mmechokana ni bora kila mtu achukue hamsini zake kuliko hii fedheha!…….. Anyway, hekima na upendo wa Mungu ukawatawale na shetani asipate nafasi! ??c2 Wake za marehemu Dr Didas Massaburi wakiwa wamekaa mstari wa mbele. c1Rais Maagufuli akitoa neno, pembeni yake mwenye suti ya dark maroon ni mzee O.O Igogo

Picha zote nimetoa kwa ? Michuzi

Kwa picha zaidi ? Vijimambo

Leave a Reply