Edward Julius: BABA WA FAMILIA NI LAZIMA ADUMISHE UHUSIANO MWEMA NA JIRANI ZAKE

Edward Julius

BABA WA FAMILIA NI LAZIMA ADUMISHE UHUSIANO MWEMA NA JIRANI ZAKE:

Kiongozi makini ni yule ambaye anatambua ya kuwa maendeleo ya kiuchumi ya nchi yake hayaji kwa nchi kujitenga na kujifanyia mambo yake peke yake, bali huletwa kwa juhudi za wananchi wake pamoja na kushirikiana vema na nchi majirani zake pamoja na jumuiya nzima ya kimataifa kwa mapana.  #VIVA_JPM

Leave a Reply