Embu tucheke kidogo na Fred Omondi

Don’t play with Otienos’  siyo watu wa spoti spoti eeh ?? unajua baba yangu his first name ni Otieno, the dreams he described utafikiri anamuongelea yeye ?? na huyo mwanamke mwenye dream yakuwa “OW” A.K.A “Otieno’s wife” ni shida! But kuna wanawake wa hivyo ambao wanakwenda shule nia yao kulewa na madokta, professos, au wafanya biashara wakubwa!……… So funny!

Leave a Reply