Family Feud: The Akothee Akothee’s family!

Kama mnavyo jua hii blog nilianzisha haswa kwa ajili ya ku-share furaha, mafanikio, changamoto, mahusiano (kati ya wazazi na watoto, wapenzi, marafiki) na njia za kutatua matatizo yetu ndani ya familia na nje ya familia! It’s all about inspirational stories and pictures / videos from our very own families, friends, and so forth! Mengine ni nyongeza tu!……..Basi jana nikiwa natazama Facebook yangu nikakutana na huu ugomvi kutoka kwa mwanamuziki mashuhuli kutoka nchini Kenya ajulikanaye kama #Akothee Akothee, nikasema ngoja ni share nanyi kwani unaweza fikiria kuwa ndugu wa “ajabu ajabu” wapo tu ndani ya familia yenu lakini ukweli watu wa namna hii au vituko vya namna hii vipo katika kila familia yenye UHAI! ………Angalia neno #uhai nimeandika kwa herufi kubwa hiyo ni kuonyesha msisitizo! Yani ninacho maanishi ni kwamba kitu chochote chenye uhai lazima kitakutana na changamoto mbalimbali ili kiendelee kuishi! Changamoto hizo zingine zaweza kuwa nzuri nyingine sinzuri lakini the bottom line kuwa utakutana nazo, and how you solve them hiyo ni juu yako wewe uliye vaa hicho kiatu kwani wewe ndio unajua ni wapi kinakubana!…….Haya enjoy the “drama” 🙂 🙂  

“POLITICS HAVE KILLED ME
one of my very close cousins , who I thought we love each other , came to me & told me that he is stuck with school fee for his daughter & he needs only 50k to enroll his daughter in form one , I gave him the money in a white envelope on a Friday , our first born brother drove him home , & on a Sunday! I recieved a call from home that he just declared that he wants to go for the same seat of mca that my mum is holding , & he used my money to buy people from my village to disgrace my mum , who has been there for the community , I had park afew of my cars in his office as I was looking for an office in Nairobi , when I came to pick the cars, they were already taken as a collateral, as they had not paid rent for months ,remember he wanted me to take over the office but I was too smart , remember he is the same causin I gave the contract to build my mums house, the battle is on , please be carefull of those who kiss you on the forest head & kiss you frequently! I have forgiven you I SAW YOUR SEVERAL CALLS BUT PLEASE! I HAD TO THROW AWAY THE PHONE TOGETHER WITH THE SIM CARD , GOD BLESS YOU IN YOUR FUTURE PLANS
I SHARE BECAUSE I CARE” Anyway, in the end always mshukuru Mungu kwa kila jambo. Kama ni Mkristu utaenda zako kanisani kusali na kutoa sadaka ya kushukuru kama unavyo mwona Akothee hapo na watoto zake akienda nao kanisani ?? Basi na kama wewe ni Muslim utaenda Msikitini kuswali, na kama wewe ni mpagani basi utajijua wewe na mashetani yako ??…….

**Undugu ni gharama ambayo haiepukiki**

Leave a Reply