Family feud continues: The Kimambi

Naona mdogo wake Mange Kimambi ameamuwa kuweka roho yake huru kwa kuweka wazi kuwa anamsapoti RC Makonda na serikali ya awamu ya  tano. Wiki iliyopita aliweka picha akiwa na RC Makonda ikiambatana na short caption "nikiwa na RC wangu" lakini leo naona kawa muwazi zaidi.... .... Well, this is not so good and very sad on Kimambi side But it's good kwa wanaopenda drama na wengine tunajifunza hapa jinsi ya kuhandle family issues especially when it played out on public.......

Tutaendelea kuwafatilia mpaka mwisho.   

Regrann from @lord_supremo1 -  Tanzania ni yetu na Amani ndio msingi wa umoja wetu!! Nimeamua kua mzalendo!! Nikiwa na RC wangu @paulmakonda ? - #regrann

Leave a Reply