Faraja Nyalandu: Matokeo yake, wengi wao leo hii wana hii tabia pia, hawavunji tu ‘kibubu’ kwasababu imetokea harambee ya ghafla ya kumchangia binamu fulani.

“Nimeamua kufuatilia rafiki zangu waliolelewa na wazazi wafanyabiashara, kutunza hela sio tu ni muhimu ilikuwa lazima. Walikuwa wanaambiwa hawana hela kwasababu zishawekwa kwenye savings au kuongezwa kwenye mtaji. Walijifunza kwa maneno na vitendo, na maumivu of course. Matokeo yake, wengi wao leo hii wana hii tabia pia, hawavunji tu ‘kibubu’ kwasababu imetokea harambee ya ghafla ya kumchangia binamu fulani. Ila hii ni tabia, mtu yoyote anaweza kuwa nayo. Tuanze kuwafundisha watoto wetu kutunza hela. Kutunza faida. Kutunza nyongeza (hata kuitengeneza nyongeza). Njoo @nmbtanzania – mfungulie Chipukizi au Mtoto akaunti #NMBKaribuYako P. S This video for #NMBWajibu is coming soon” Faraja Nyalandu——

Leave a Reply