Habari nyepesi nyepesi ni kuwa Ivanka Trump ndio ata play the FirstLady role!

screenshot_2016-12-05-21-34-28-1Inasemekana ya kwamba Ivanka Trump ndio aka “act” as FirstLady kwenye uongozi wa baba yake. Nimeweka “….” kwasababu haiwezi ikafanywa official kwani kisheria hairuhusiwi lakini hiyo haimaanishi hawezi fanya hivyo. Yani anaweza akawa active kwenye maswala mengi kama mtoto wa Rais  napia kwenda kumuwakilisha FirstLady kwenye mikutano yote. Lakini hato lipwa mshahara wala benefits zozote kama FirstLady………….

Ivanka alikuwa very active kwenye campaign management team ya baba yake na sasa ni Adviser kwenye transition team ya baba yake ambapo hata kaka zake nao wapo. Vile vile inasadikika kuwa Ivanka Trump takuwa the most powerful First-Daughter in USA history!…….

Wiki hii walikuwa wanatafuta nyumba ya kununua karibu na WhiteHouse hapo DC. Nahilo ndilo linawapa watu imani kuwa nikweli she’s going to “act” as FirstLady sababu kwani Trump wana hotel ya kifahari hapo karibu na WhiteHouse na ina suite (chumba) specific for Ivanka Trump hivyo kama ni kumsalimia baba walikuwa na sehemu ya kulala na hata wangeweza kukaa ndani ya WhiteHouse!….. Inasemekana watoto wakiume ndio watakuwa wakiendelea kuendesha business zao………Anyway, time will tell!

Kitu ambacho sikujua kuwa Ivanka Trump na mme wake ni Wasabato kama mimi ? ? Ivanka alibatizwa kwenye Usabato baada ya kukutana na mumewe. Wakati mumewe ni Msabato wakuzaliwa. ……..You go Ivanka one day I will meet you ?? simnajua baba yangu ni President Dr. Magufuli ??

Leave a Reply