Hakikisha ujumbe huu umewafikia Wahaya wote!

Mwanasheria msomi wa kimataifa mwenye asili ya Kiluo kutoka Utegi, Rorya, mkowa wa Mara, ajulikanae kama Janeth O. O Igogo.  Leo hii asubuhi masaa ya Africa Mashariki akiwa ndani ya jiji la Bukoba mara tu baada ya kutua salama katika mji huo unaosifika kwa matetemeko ya ardhi kupitia Facebook page yake alituma salamu kwa Wahaya wote wanao ng’ang’ania mjini kurudi kwako wakajenge Kagera ya viwanda vyenye kasi ya Rais  Dr. Magufuli…….. Ujumbe huu ni muhimu sana ukiupata hakikisha kila Muhaya unaye mjua ameusoma ??? #AzimioLaKagera 

Leave a Reply