Happy birthday baba!

Leo ni siku kazaliwa mzee O.O Igogo wengine umuita mzee wa Utegi Tech! Na wanawe walimpa jina la utani “mzee wa pamba”! ?? Amegonga miaka 68 leo. Tunamtakia maisha marefu zaidi, mema sana, na yenye baraka nyingi sana. Happy birthday to him. ……. zifuatazo ni salamu kutoka baadhi ya watoto na wajukuu!

Ujumbe toka kwa binti yake, Alpha.

Baba naye akafurahia picha iliyoambatanishwa na salamu za kuzaliwa kwake, ?? I made him smile yeah! ??

Ujumbe toka kwa binti yake Janeth

Salamu za upendo toka kwa mjukuu Sarah, a.k.a Katuko Nyandege

Mziwanda nae hakubaki nyuma! Yeye kampiga picha na kuandika salamu kwa juu! ? smart girl!

Cake maalum kwa ajili ya babu! ??

Salamu kutoka kwa binti yake Magreth Rhoda-Nyasungu

Salamu kutoka kwa mjukuu number moja, Mercy!

Well, kwamara nyingine twamtakia kheri ya maisha marefu! ……. embu tuwakumbishie enzi zake wakati wa ujana wake ??

Mjaluo kama mjaluo! OG from Rorya! ??? Eti dad ake nani huyu?! Kweli umaridadi huficha umasikini! ??

#HappyBirthdayDad. #FBS

Leave a Reply