Happy Birthday-Miriam Odemba

Leo ni siku ya kuzaliwa mrembo na mwana mitindo Miriam Odemba. Namtakia siku njema na yenye upendo mwingi.

Miriam Odemba birthday

 Miriam Yeye amesherekea siku yake ya kuzaliwa na watoto yatima wa kituo cha VVK Morocco. Bible inasema dini ya kweli hujali wagonjwa, wajane, na yatima. Ubarikiwe sana Miriam.

Leave a Reply