Happy Father’s Day baba Cookie!

Regrann from @auntyezekiel  -  Kabla ya kufanya Maamuzi ya kuwa na Mtoto niliwaza sana Mwanaume wa kuzaa nae Mana nilikuwa na hofu na kuogopa hasa ukiona Mababa au malalamiko ya wamama wakilalamika  wanayofanyiwa na wababa sikuogopa kukosa matumizi Hapana sikuogopa kukosa kusomeshewa mtoto hapa mana yote hayo niliamini naweza kupambana na nikayamudu....Nilichoogopa kupata baba asiyejua Umuhimu au majukumu yake kwa mtoto huyo na hata akakosa Upendo na Muda na Mtoto tutakayekuwa nae .... Hakuna kitu Nafurahi kama kuona Mwanangu akipata Upendo kutoka sehemu anayopenda Nashukuru Mungu alinipa Ww kama Baba wa Mtoto wang Mana umekuwa na Mapenzi ndani ya Familia hii na Mtoto wako zaidi ya yale niliyoyawaza jua hiyo ni bahati tuu hiyo ndio Maana ya Baba bora na Sio bora Baba Siwezi kumaliza bwana .....HAPPY FATHER'S DAY BABA COOKIE WW NI BABA BORA .....@moseiyobo  - #regrann

Leave a Reply