Happy Father’s Day to you great father out there!

Happy Father's Day to all great fathers out there who've been taking their responsibilities with a sense of pride and warm smile! God bless you abundantly! For those who are longing to be called "papa" just keep on praying your time is so never,  our God is faithful, full of mercy and grace, He always answer  prayers beyond our imaginations!Nawatakieni furaha na baraka ya siku ya wakina baba duniani kote kwa wababa wote wanaotimiza majukumu yao kwa furaha na ufahari mkubwa bila "kushurutishwa" na RC Paul Makonda! Kwa wale ambao wanatamani kuitwa baba lakini bado  hamu hiyo Mungu ajakutolea basi wewe endelea kuomba bila kukata tamaa zamu yako inakuja kwani Mungu wetu ni muaminifu, mwenye wingi wa rehema na neema hujibu maombi azidi ya tuombavyo!

Happy Father’s Day to you all ❤

Leave a Reply