Happy Holidays from Mwajuma and her family!

Awwih! Mahaba haya si muchezo ati ? Mwajuma na mapigo ya moyo wake ? bwana mie jina la shemeji silijui ? Ila Mwajuma ni dada yangu, tumekuwa wote mtaa mmoja, nyumba zetu zinapakana ukuta hadi leo hii ninapo ongea. Yani nivile tu tumekuwa na maisha yakatupeleka sehemu tofauti. Yeye anaishi UK na familia yake nami niko U.S.A. Tumeishi sisi kama ndugu na majirani zetu hadi raha. Watoto wa KekoJuu siye wazazi wetu walikuwa waungwana sanaaa! Ndio maana mpaka leo sisi tunapendana.....Happy holidays Mwajuma and your family ?❤  

Leave a Reply