Harusi hii watu walipendeza lakini…..!

Mr and Mrs Jons

Hii harusi ya Romy Jons mdogo wake na Diamond walipendeza sana kwenye mavazi!  

Japo kwenye nywele za bibi harusi na Zari sijaapenda sana. Hazikutengenezwa vizuri kivile!   Halafu mimi sipendi hizi suruali za kubana kwa wanaume ?? lakini sindio mambo ya fashion zao hao wa kwenye entertainment industry! Otherwise, ingeneral walipendeza.

Kitu ambacho sikukipenda ni jinsi Diamond na Zari alivyopata attention zaidi kuliko maharusi!  

It seems to me Diamond and Zari over-did themselves ambapo naona watu wakawa hawana jinsi ila kuwatizama na kuwashangilia!  

Naelewa kwanini bwana harusi alimtaka kaka yake awe msimamizi wa harusi lakini kumbuka harusi ni siku yako moja tu ambayo unatakiwa kupata all the attention na siyo mtu  mwingine! Hivyo kuwa na “mastar” wawili ndio wasimamizi wake I think was a bit too much! Especially mastar wenyewe ndio wale ambao wako “hyper” 24/7 lazima wata overshadow your day! Harusi huwa haijurudii ni kitu cha mara moja  labda uwe na “nyota” kama ya Irene Uwoya ndio utafanya harusi mbii hivyo usifanye makosa ambayo utajutia baadaye! Otherwise Hongera zao!  

Esma (wifi mtu) alipendeza zaidi kuanzia kichwa mpaka nguo! 

Nasikia mama Diamond katangaza kuwa anamimba? ??? Naona hii familia imeamua kuwa kama the Kadashians wa hapa Marekani ?? Who am I to judge?! Just wishing her well, twamsubiria huyo mziwanda!

Leave a Reply