Hili limenikosha moyo!

Nilikwenda kuchungulia kwa mwanamuziki maharufu kutoka Kenya aitwaye Akothee Akothee! Nikakutana na hizi picha za yeye na babu yake akimpa babu good time! Zimenigusa mnooooo, zikanikumbusha bibi zangu na babu natamani wangekuwa bado wako hai. Nilikuwa nawapenda sanaaaaaa my grandparents! Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuwaona, kufurahi nao, na kuhakikisha wanajua kuwa nawapenda kabla mauti haijawapata. Hivyo hata kama sikonao tena lakini nafuraha moyoni kwakua walijua jinsi gani nawapenda kwani niliwaonyesha kwa vitendo!..Anyway embu nawe zitazame ?“my grandfather , my best friend my sweetheart , when he dint see me in his house for 2 days , he knew something was wrong , so he broke the sickbed rules , grubbed a pikipiki and suprised me at home , the love is real , ww have a tight relationship , as tired as he is , he made it to my house , his words (“ka ok anenoi ndalo ariyo., to aparoni tiendi cha omedore ,kata ituo , koro jii to okwera ni siasa rach oko kanyo , to apondonegi mabiro ” he said . GOD BLESS YOU JAMES OGENDI I love you too”~~~~~~ Akothee Akothee  

Leave a Reply