Hongera bwana na bibi Mandela!

Hongera Mr na Mrs Mandela kwa kufunga ndoa takatifu. Mwenyezi Mungu awe ndio ngao na kimbilio lenu wakati wote. Hongera sana Mzee Igogo na vijana wake ?? kwa faida ya wasomaji wangu, Mandela ambaye ni bwana harusi  yeye ni msaidizi wa wazazi wangu huko nyumbani. Wiki iliyopita siku ya Juma Mosi alifunga ndoa na lazizi wake huko Kibada, Dar, Tz.  Waliporudi mzee Igogo naye akajisogeza kupata kumbukumbu japo ilikuwa usiku! Mdogo wangu Magreth yeye alihudhuria kwa niaba ya familia. Kwa mara nyingine, hongereni sana.

Leave a Reply