Hongera Mh. Janeth Masaburi

Well! Kama nilivyo wahi sema huko nyuma kuwa kuna ndugu zagu ambao ni wanasiasa, hivyo inapofikia kwenye kutoa pongezi basi sina budi! Kwa maneno hayo, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza my aunt Mrs Janeth Masaburi kwa kuteuliwa kuwa Mbunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. ......Hongera sana, natumaini kuona sheria nzuri za kulinda na kutetea watoto na wanawake haswa katika kutimiza malengo ya dunia ya uchumi wa viwanda kwa wanawake!

Leave a Reply