Hongera Mr and Mrs Ali Kiba!

Sijachelewa, simnajuag8ina mimi huwa sifanyi vitu kutoka na ushabiki wa watu! I like to do this my way at my own convenience time! That is what means by being a C.E.O of your life! That what makes you unique! Yani sipendi kupangiwa maisha wala kupewa kanuni ya kufanya mambo yangu kwani I am not in a competition with nobody but myself!! Anyway, ngoja nimpongeze King Kiba kwa kuuacha U-singleman a.k.a U-bachelor. 

Mc anakwambia "mwanaume pochi mwanamke matumizi"! ?? Yap! Mtunze mkeo lasivyo wajanja watakutunzia ???? Utalea watoto wa wanaume wenzako kwa madai ya "kitanda hakizai haramu" ?? Chakunishangaza kama kweli "kitanda" hakizai haramu mbona Chawa na Kunguni huwa wanazaliana kwenye kodoro chini ya kitanda ?? natafakari tu ?? Mpende na umtunze mkeo Mr King! 

Honestly hakuna kitu kibaya kama meanaume asiyejua kuchakarika kutafuta pesa na mwanaume baili!! Pesa utafute halafu kuzitumia hutaki abeee! Sasa ulizitafuta za nini?! Fungulia makumbusho basi uziweke kwa maonyesho kha! Au unakuta mwanaume hajui kujiongeza hata umsukume kwa greda hasongi mbele!! Awiih! I am not a " Gold digga" but can't stand a broak-lazy nigger ?‍♂️?‍♂️ #MwanaumePochiMwanamkeMatumizi  Anyway, nakutakia ndoa njema iliyojaa mafanikio mengi sana, amani, furaha, na afya njema kwenu wote. Mungu awaongoze siku zote. Hongera sana Mr and Mrs Ali Kiba 

Leave a Reply