Hongera sana Mr and Mrs Paul Makonda

Mwacheni Mungu aitwe Mungu! Asante Baba Mungu kwa kumuaibisha shetani mchana kweupe!!! Tumzomeeni shetani kwa nguvu zote na tulitukuze jina lake Mungu milele zote! Hakika wewe ni mweza wa yote hakuna lishindikalo mbele yako. Pongezi nyingi kwa Mr and Mrs Makonda, Mwenyezi awajalie ulezi mwema, mototo Keagan akuwe katika kimo na hekima akampendeze Mungu kwanza kisha wanadamu. Mungu abariki uzao wenu hata kizazi cha tatu na cha nne, Amen!

Leave a Reply