Hongera sanaaaaaa Jokate!

“Nafurahi kutajwa na jarida la Forbes na pia kupamba ukurasa wao wa juu kama mmoja kati ya vijana 30 Afrika wanaofanya vyema katika ujasiriamali na kutengeneza uchumi unaohamasisha mabadiliko chanya kwenye jamii zetu. Mungu yu Mwema. Tunaendelea kupambana mpaka kieleweke.” Hongera sana Jokate! Uzidi kwenda mbele na ubarikiwe sanaaaaaa zaidi ya hapo! ??

Leave a Reply