Hoyce Temu: shukrani za pekee kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ?? Mh. John Magufuli na mkewe Mama Janet

@Regranned from @hoycetemu  -  Done! Mungu ni Mkubwa na kwa Mara nyingine miminatanzania inatoa shukrani za Pekee kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ?? Mh. John Magufuli na mkewe Mama Janet kwa kuchangia milioni 15 ambapo Sasa zikichanganywa na milioni 15 zilizopatikana kutoka kwa watanzania kupitia miminatanzania tutakuwa tumefikia kiwango na hata kuvuka. @wastara84 mdogo wangu, kila la kheri na muamini Allah na usikate tamaa. Hivyo basi mahesabu ni kama Ifuatavyo: Mh. Rais-15m, Miminatanzania 15m, Msamaria mwema aliyeweka kwenye account ya Hospitali India 7m, familia ya Wastara 5m JUMLA ni 42m zaidi ya lengo la milioni 37! Kila la kheri Wastara! Asante Tanzania! ????#tumeweza #jamii

Leave a Reply