Joyce Kiria: Wamejikuta wanakubaliana na IMANI ya KUVUMILIA hali walizonazo

Regrann from @joycekiriasuperwoman – Watu wengi wamenasa katika mtego wa kuamini kuwa hawana uwezo wa kupata ufumbuzi wa matatizo waliyonayo, kwa sababu wamejikuta wanakubaliana na IMANI ya KUVUMILIA hali walizonazo.
Wacha nikwambaie, Haujaumbwa ili kuvumilia matatizo yanayokukabili, umeumbwa ili UYATATUE na upige hatua. Chunguza matatizo yanayokuzunguka Leo na ujiambie nafsi yako ” HATA TATIZO HILI LINA UFUMBUZI, SITAKUBALI KUSHINDWA KULITATUA”
**
**
Kila Changamoto inayokukabili Leo inahitaji UWEZO Mkubwa zaidi wa kufikiri au MAARIFA ili uweze kuitatua. Kinachofanya Changamoto iwe ngumu, siyo kwa sababu ya jinsi ilivyo Bali kwa sababu ya UWEZO Mdogo wa MAARIFA uliyonayo.
**
**
Katika Changamoto ulizonazo jiulize unahitaji maarifa gani katika hilo Eneo ili uweze kukabiliana nayo na kuishinda… Good morning
**”
Top from @lizycollections @lizycollections – #regrann

Leave a Reply