Kheri ya mwaka mpya 2021!

Wapendwa wasomaji wangu natumaini nyote mmekuwa na mwaka mpya mwema, nami naomba niwasalimu kwa kuwatakia kheri ya mwaka 2021. Twamshukuru Mungu tumeuona, naomba ukawr mwaka wa baraka nyingi na amani tele kwetu sote. Mungu atunusuru na pepo la maradhi, vifo, na mahangaiko yasio isha. Kweri na baraka za mwaka mpya.

Nimefungua huu mwaka kwa kuanza kuwarushia picha za wanafamilia ya mzee O.O Igogo walipokutana nyumbani kwa familia ya Nyagilo kwa kusudi la kushiriki chakula cha mchana pamoja maalumu kwa kufungua mwaka mpya ambao tumeanza. ….. Kama utakuwa hufahamu familia ya Nyagilo basi bonyeza ?? Meet the Obama’s extended family members!

Haya mbarikiwe wote!

Leave a Reply