Kheri ya siku ya kuzaliwa kwako binti wa Sepetunga!

Nakutakia kheri na furaha ya siku ya kuzaliwa kwako ‘moyo mtamu wa Watanzania’! Uwe na siku nzuri iliyojaa amani, furaha, na vicheko vingi! Uzidi barikiwa na yote uyaombao kwa Mwenyezi Mungi akutimizie kama apendvyo na unavyo stahili. Happy birthday Wema.  Be blessed! ?❤

Leave a Reply