“#KingKiba #CaseClosed” Jokate

screenshot_2016-10-10-15-54-50-1fb_img_1472436063790Jamani mrembo wetu ndo kesha tamka hivyo kuwa King Kiba case ilishafanyiwa kazi, hukumu akaitoa, na sasa ni “CaseClosed” ?? Mimi nawatahadharisha walevi wote wa #MwendoKasi kuwa hapa ni mpaka kifo! Please muacheni wifi yetu lol!……… Hiyo ilikuwa ndio #MCM wake leo. Nice pic Jokate

Leave a Reply