“Kupata mtu wa kuzaa nae inaweza isiwe tabu sana ila…..!” Diamond

“Kupata mtu wa kuzaa nae inaweza isiwe tabu sana ila kupata mwanamke atakaye kubali kuacha starehe zote za dunia na kukulelea watoto ipasavyo siyo kitu rahisi………….kazi yangu imejawa na vishawishi sana, wakati mwingine napatia wakati mwingine nakukosea lakini siku zote umekuwa mwenye kunanielekeza pale nikoseapo na sio kunihukumu……..na ndiomaana siku zote chochote ukitakacho nikiwa nacho lazima nikupe pengine itanisaidia kukueleza ni kiasi gani nakupenda na kukuthamini………Happy Mother’s Day @Zaribosslady”~~~~~~Diamond

Leave a Reply