Kuwa muungwana kwa maisha yako ya baadaye na sio maisha yaliopita!

  Nimekutana na hii topic huko Instagram nikaona ni share nanyi! Inasema kuwa acha kujaribu / usije jaribu kufanya biashara na mtu ambaye mmeachana (ex)  au hata kujaribu kuwa marafiki kwani ndio maana kuna mke/ mume tafuta wako ufanye naye biashara! Kuwa muungwana/ mkarimu kwa maisha yako ya baadaye na sio maisha yaliyopita! Let bygone be who she / he is! Tafuta mwenza wako ndo mfanye naye biashara! Kuna wengine inatokea wakaachana na bado wakaendelea kufanya biashara pamoja. Lakini kundi la watu hao ni wachache sana! Hata Beyonce alimfukuza baba yake u-Manager baada ya kuachana na mama yake Beyonce sasa sembuse wewe?! ……………”Stop trying to do business and be friends with your ex.  There’s a spouse for that. Get one! >>>>> Be loyal to your future not your past!”>>>>>> AskcheyB

Leave a Reply