LeMutuz umesema kweli lakini…………..!

 LIVE STRAIGHT TALK:- The Art of growing up process historia inatakiwa kuwa @diamondplatnumz ndiye Mtanzania wa kwanza kuandika mafanikio makubwa ya music kuliko Wanamuziki wote wa Taifa hili walio hai na wasiokuwa hilo by FACTS halina ubishi ...leo ninaomba kuwakumbusha WaTanzania wenzangu kwamba kuna wakati tunakosea sana tunapomuhukumu huyu kijana mdogo kwa mapungufu yake huwa tunasahau kuwa ni Kijana mdogo sana mwenye umri wa the 20s so Scientifically au Theologically ni HAKI YAKE YA KIMSINGI kufanya makosa mengi kwa sababu umri wake unamruhusu ...tunamharakisha sana kuwa mtumzima wakati he is not yaani kama Wanawake wengi wanavyowalalamikia Waume zao kuwa hayupo hivi au hayupo vile ukweli ni kwamba he is not what you want now muache au baki naye ila nyamaza ...I mean hebu wale wote mnaomlaumu sana huyu Kijana mdogo sit down and look back ulipokuwa kwenye umri alioano wa the 20s akili zako zilikuwa zinafananaje? makosa mangapi uliyafanya? inaitwa process na ndio makosa makubwa Baba yake Michael Jackson aliyafanya kwa mtoto wake kwa kujali sana kipaji cha mtoto wake bila kujali ubinadam wake akaishia kumnyima nafasi ya kuwa mtoto mpaka kijana matokeo Michael alipokuwa mtu akawa hajielewi kama ni mtoto mdogo au mtumzima now na sisi kama Jamii tunataka kurudia makosa yale yale ya kumnyima Diamond process ya ku Grow up tunataka awe mtumzima ghafla kusudi afanane na muziki wake au our imaginations it is wrong TUNAKOSEA SANA ...sometimes ninashangazwa sana na hata yule Mpenzi wake anapomfanyia mambo ya kumrushia maneno ya shombo kwenye Social Media on a serious note huwa kwa sisi wenye AKILI KUBWAZZ anajichoresha cause alitegemea nini kumpenda Kijana mdogo in his 20s? ....I mean guys everybody back off tumpe nafasi kijana mdogo aishi maisha yake akosee awe sawa ni process ya kukua ambayo wote tumeipitia ..I mean unakuta yule Kibibi kule USA mtumzima Mama wa Watoto 3 Baba mbali mbali kimeachwa na Mume Jobless, Homeless hana hata Taifa maana hawezi kurudi tena Tanzania hata akiwa amekufa na yeye unamkuta anashambulia mapungufu ya Diamond kama vile na yeye ni kijana mdogo badala ya KUJITAFAKARI ATAZIKIWA WAPI NA NANI! ...guys tumuache Diamond awe Diamond! - le Mutuz
 
Ok LeMutuz, uliyoyasema yote ni ya ukweli kabisa nakubaliana na wewe lakini kumbuka Diamond himself decided to wear "big boy's shoes" thus must accept all the responsibilities that comes with it!! Ingekuwa ni mtoto wa kike anafanya hayo afanyayo Diamond naamini hata wewe ungekuwa mmoja wa watu wanaomponda! Tuache double-standard! Kama ameamua kuwa na watoto then he needs to act like someone's parent not a teenager anymore!! Plus ashukuru kuna watu wanajali hata kuamua kumwambia ukweli ili asiangamie kabisa japo wengine ni wivu na roho mbaya ndio zinawasumbua!................When comes to his relationship with Zari; you're absolutely right! Zari should have known the consequences of being in a relationship with a post-teenager boy!! Kwenye hii situation, she's the one who's grown  thus she needs to make some grownup decision to either let Diamond go or pull-up her "big girl panties" and suck it sincerely!! It seems to me Zari wants  husband around but Diamond is not ready to seattle down, he wants to "play house"! It's sad but is the truth!

Leave a Reply